helo community how are you .its my first time to join jamii forum i dont have more to say but instruct me how to go about
JF is never boring..........
Hiyo simple tu elekeza kijambio chako chini usawa wa godoro then toka nje ya shuka kidogo unaachia mizinga yako maana godoro dizain linaabsorb smile na mambo yatakua shwari ila sasa kama umekula mayai au maharsarage hiyo kesi nyingine
Wewe lala nae tena mjifunike shuka moja, achia kitu ukimiona anatoa kichwa nje ujue hakupendi lol
Mi najamba kinoma tena viyusufu ndo balaa! Mpaka mwenzangu huwa anantania sana had kuniita yusuf!
mkuu naona hukuwa na haja ya wageni, uliwapata kweli=============
Mualiko wa EID:
Nakualika uje wewe na rafiki yako katika sikukuu ya EID nyumbani kwetu, Nakutegemea kama Rafiki wa karibu, Panda gari la gongo la mboto shuka gongo la mboto mwisho alafu chukua magari ya Pugu kajiungeni shuka mwisho wa gari halaf panda vigari vya kwenda kisarawe teremka kwa sangita, ukifika chukua bajaj mwambie akulete kwa mama davina kisha panda pikipiki mpaka Kisarawe social hall ukifika kuna baiskel mwambie akulete hadi Uwanja wa somji, ukifika angalia mbele kuna kanisa pita kichochoro mbele utaiona shule ya msingi Ndama, Nyuma ya shule ndo kwetu Karibu Ndugu yangu.
=============
mkuu naona hukuwa na haja ya wageni, uliwapata kweli
Kukoroma ndio noma, kujamba mbona poa tu.
Hiyo simple tu elekeza
kijambio chako chini usawa wa godoro then toka nje ya shuka kidogo
unaachia mizinga yako maana godoro dizain linaabsorb smile na mambo
yatakua shwari ila sasa kama umekula mayai au maharsarage hiyo kesi
nyingine