Uchaguzi 2020 Siku 13 za Tundu Lissu tangu aingie nchini Tanzania

Uchaguzi 2020 Siku 13 za Tundu Lissu tangu aingie nchini Tanzania

Huu ujinga mwingine, hivi kwa akili yenu mnadhani huyu mwanaharakati msomi wa sheria mropokaji na limbukeni ndio anaweza kuwa Rais wa nchi?

Huu ni Ujinga na upunguani. Jitahidi matokeo mtayakuta Octoba 28 vichwa vikizibuliwa na sanduku la kula. Pigeni kelele mitandaoni mwisho Octoba 28. Na siku ya kupeleka watu barabarani NI YEYE awe mstari wa mbele atavisikia tena vyuma vya moto. Hatuwezi haribu nchi kwasababu ya mpuuzi mmoja na uana harakati wake

You are deeply frustrated for nothing....

Calm down, take a glass of cold water, drink then sit down...

Now, I can tell you this:

Karma is a bitch brother. Your wish is not a grant....

Jiandae kwa lolote. Jiandae kuongozwa na Rais yeyote atakayechaguliwa...

Maisha yetu yanapaswa kuwa ya mfano wa Yesu Kristo....

Yesu Kristo alipingwa kila kona. Kila namna ilitumika kuzuia "mission" yake; polisi, mahakama, uchawi, propaganda za kila namna (hii yako ni ya kitoto sana) nk...

Waliposhindwa, wakaja na mbinu ya KIFO. Wakadhani kifo kitazuia KUSUDI la MISSION yake....

Lakini everything didn't work...

Ndugu, KARMA is a key deciding factor kwa maisha yetu ya kila siku...

Mambo hayafanyiki tu kwa kuwa wewe una hasira sana, humpendi mtu fulani au kwa sbb unanufaika kwa namna hii au ile na uwepo wa mtu fulani mahali fulani....

Mfano, hapa huna hata sababu ya Kung'aka lakini unang'aka tu kana kwamba wewe ni mwamuzi wa uelekeo wa maisha ya watu wengine...

You are wrong. Tuliza akili yako. Fikiri vizuri...
 
Wasalaam,
Kheri ya sikukuu ya nanenane kwa wapambanaji wote, Kama mjuavyo, leo Tundu Lisu anatimiza siku 13 tangu aingie nchini Tanzania akitokea nchi ya Ubeligiji, pia Ni sikukuu ya nanenane na tunatarajia TBC itakuwa mbashara kuonesha maonesho na hotuba za viongozi mbalimbali wa kiselikali wakiwa nyakabindi mkoani Simiyu. Leo Ni siku ya ambayo T.A.L atachukua form ya kugombea uraisi kupitia CHADEMA pale ofisi za NEC DODOMA. Pamoja na hayo, nataka kuwakumbusha utofauti wa siku 13 za TL nchini na kuzifananisha na zile za ujio wa Lowasa enzi zilee[emoji41][emoji41], Kama mtakumbuka
- Tangu TL aingie nchini, wanaharakati nguli na viongozi wakereketwa na waandamizi wa Magufuri wameu mute kimyaa[emoji112]
- Nchi yote inahofu Nini kitaenda kutokea endapo TL atapewa atapewa form ili agombee uraisi
- Hakuna mgogolo ndani ya chama Cha CHADEMA na Hakuna anayewaza kuhama akaunge juhudi za mheshimiwa Raisi
- Vyombo vya habari vimempa kisogo TL vile vya ndani, haviwezi hata kwenda kwake kumuulizie kuhusu afya yake na mipango yake lakini TL amekuwa maalufu mpaka wapinzani wake wanaogopa
- Kampeni za TUMETEKELEZA hazifuatiliwi kabisa na wenye tv na zimekosa mvuto
- Ari ya vijana kupiga kura imerudi tofauti na awali walivyo kuwa wakisema kupiga kura Ni kupoteza muda wako.
Leo Ni leo, asemae kesho Ni muoga
#NIYEYE2020
This is major point.....Hakuna mgogoro ndani ya CHADEMA na Hakuna anayewaza kuhama akaunge juhudi za mheshimiwa Raisi[emoji1548][emoji1534][emoji1548][emoji1534][emoji1548][emoji770][emoji817][emoji770][emoji817]
 
Wasalaam,
Kheri ya sikukuu ya nanenane kwa wapambanaji wote, Kama mjuavyo, leo Tundu Lisu anatimiza siku 13 tangu aingie nchini Tanzania akitokea nchi ya Ubeligiji, pia Ni sikukuu ya nanenane na tunatarajia TBC itakuwa mbashara kuonesha maonesho na hotuba za viongozi mbalimbali wa kiselikali wakiwa nyakabindi mkoani Simiyu. Leo Ni siku ya ambayo T.A.L atachukua form ya kugombea uraisi kupitia CHADEMA pale ofisi za NEC DODOMA. Pamoja na hayo, nataka kuwakumbusha utofauti wa siku 13 za TL nchini na kuzifananisha na zile za ujio wa Lowasa enzi zilee[emoji41][emoji41], Kama mtakumbuka
- Tangu TL aingie nchini, wanaharakati nguli na viongozi wakereketwa na waandamizi wa Magufuri wameu mute kimyaa[emoji112]
- Nchi yote inahofu Nini kitaenda kutokea endapo TL atapewa atapewa form ili agombee uraisi
- Hakuna mgogolo ndani ya chama Cha CHADEMA na Hakuna anayewaza kuhama akaunge juhudi za mheshimiwa Raisi
- Vyombo vya habari vimempa kisogo TL vile vya ndani, haviwezi hata kwenda kwake kumuulizie kuhusu afya yake na mipango yake lakini TL amekuwa maalufu mpaka wapinzani wake wanaogopa
- Kampeni za TUMETEKELEZA hazifuatiliwi kabisa na wenye tv na zimekosa mvuto
- Ari ya vijana kupiga kura imerudi tofauti na awali walivyo kuwa wakisema kupiga kura Ni kupoteza muda wako.
Leo Ni leo, asemae kesho Ni muoga
#NIYEYE2020
Chadem Hua mmachekesha Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huu ujinga mwingine, hivi kwa akili yenu mnadhani huyu mwanaharakati msomi wa sheria mropokaji na limbukeni ndio anaweza kuwa Rais wa nchi?

Huu ni Ujinga na upunguani. Jitahidi matokeo mtayakuta Octoba 28 vichwa vikizibuliwa na sanduku la kula. Pigeni kelele mitandaoni mwisho Octoba 28. Na siku ya kupeleka watu barabarani NI YEYE awe mstari wa mbele atavisikia tena vyuma vya moto. Hatuwezi haribu nchi kwasababu ya mpuuzi mmoja na uana harakati wake
Pimbi kweli wewe,kazi yako kulamba makalio ya basha wako tu,huna hoja
 
Huu ujinga mwingine, hivi kwa akili yenu mnadhani huyu mwanaharakati msomi wa sheria mropokaji na limbukeni ndio anaweza kuwa Rais wa nchi?

Huu ni Ujinga na upunguani. Jitahidi matokeo mtayakuta Octoba 28 vichwa vikizibuliwa na sanduku la kula. Pigeni kelele mitandaoni mwisho Octoba 28. Na siku ya kupeleka watu barabarani NI YEYE awe mstari wa mbele atavisikia tena vyuma vya moto. Hatuwezi haribu nchi kwasababu ya mpuuzi mmoja na uana harakati wake

Sasa wananchi kama wanamkubali pamoja uropokaji wake wewe ni nani wa kupingana na wapiga kura
 
Wasalaam,

Kheri ya sikukuu ya nanenane kwa wapambanaji wote, Kama mjuavyo, leo Tundu Lisu anatimiza siku 13 tangu aingie nchini Tanzania akitokea nchi ya Ubeligiji, pia Ni sikukuu ya nanenane na tunatarajia TBC itakuwa mbashara kuonesha maonesho na hotuba za viongozi mbalimbali wa kiselikali wakiwa nyakabindi mkoani Simiyu.

Leo Ni siku ya ambayo T.A.L atachukua form ya kugombea uraisi kupitia CHADEMA pale ofisi za NEC DODOMA. Pamoja na hayo, nataka kuwakumbusha utofauti wa siku 13 za TL nchini na kuzifananisha na zile za ujio wa Lowasa enzi zilee[emoji41][emoji41], Kama mtakumbuka

- Tangu TL aingie nchini, wanaharakati nguli na viongozi wakereketwa na waandamizi wa Magufuri wameu mute kimyaa[emoji112]

- Nchi yote inahofu Nini kitaenda kutokea endapo TL atapewa atapewa form ili agombee uraisi

- Hakuna mgogolo ndani ya chama Cha CHADEMA na Hakuna anayewaza kuhama akaunge juhudi za mheshimiwa Rais

- Vyombo vya habari vimempa kisogo TL vile vya ndani, haviwezi hata kwenda kwake kumuulizie kuhusu afya yake na mipango yake lakini TL amekuwa maalufu mpaka wapinzani wake wanaogopa

- Kampeni za TUMETEKELEZA hazifuatiliwi kabisa na wenye tv na zimekosa mvuto

- Ari ya vijana kupiga kura imerudi tofauti na awali walivyo kuwa wakisema kupiga kura Ni kupoteza muda wako.

Leo Ni leo, asemae kesho Ni muoga
#NIYEYE2020
Wakati wa Lowasa walihitokeza wanalumumba wengi kila mtu kujifanya msemaje. Akina Lusinde, Alina Msukuma, akina Makonda, akina Mwandosya, akina Malecela woote waliibuka kutoa matamko. Lkini now wamejua mto ni wa tofauti.
 
Huu ujinga mwingine, hivi kwa akili yenu mnadhani huyu mwanaharakati msomi wa sheria mropokaji na limbukeni ndio anaweza kuwa Rais wa nchi?

Huu ni Ujinga na upunguani. Jitahidi matokeo mtayakuta Octoba 28 vichwa vikizibuliwa na sanduku la kula. Pigeni kelele mitandaoni mwisho Octoba 28. Na siku ya kupeleka watu barabarani NI YEYE awe mstari wa mbele atavisikia tena vyuma vya moto. Hatuwezi haribu nchi kwasababu ya mpuuzi mmoja na uana harakati wake
Taratibu NDUGU Mbona umepaniki?
 
Wasalaam,

Kheri ya sikukuu ya nanenane kwa wapambanaji wote, Kama mjuavyo, leo Tundu Lisu anatimiza siku 13 tangu aingie nchini Tanzania akitokea nchi ya Ubeligiji, pia Ni sikukuu ya nanenane na tunatarajia TBC itakuwa mbashara kuonesha maonesho na hotuba za viongozi mbalimbali wa kiselikali wakiwa nyakabindi mkoani Simiyu.

Leo Ni siku ya ambayo T.A.L atachukua form ya kugombea uraisi kupitia CHADEMA pale ofisi za NEC DODOMA. Pamoja na hayo, nataka kuwakumbusha utofauti wa siku 13 za TL nchini na kuzifananisha na zile za ujio wa Lowasa enzi zilee[emoji41][emoji41], Kama mtakumbuka

- Tangu TL aingie nchini, wanaharakati nguli na viongozi wakereketwa na waandamizi wa Magufuri wameu mute kimyaa[emoji112]

- Nchi yote inahofu Nini kitaenda kutokea endapo TL atapewa atapewa form ili agombee uraisi

- Hakuna mgogolo ndani ya chama Cha CHADEMA na Hakuna anayewaza kuhama akaunge juhudi za mheshimiwa Rais

- Vyombo vya habari vimempa kisogo TL vile vya ndani, haviwezi hata kwenda kwake kumuulizie kuhusu afya yake na mipango yake lakini TL amekuwa maalufu mpaka wapinzani wake wanaogopa

- Kampeni za TUMETEKELEZA hazifuatiliwi kabisa na wenye tv na zimekosa mvuto

- Ari ya vijana kupiga kura imerudi tofauti na awali walivyo kuwa wakisema kupiga kura Ni kupoteza muda wako.

Leo Ni leo, asemae kesho Ni muoga
#NIYEYE2020
CCM wajiandae kukabidhi nchi kwa CDM.
 
Tunajua Raisi atakuwa Tundu Antipas Lissu. Na Hii ni mpende au msipende!

Haya, kama anakuwa rais kwa wewe kulazimisha haya atakuwa rais

Ndio nyie mnaongezq idadi ya wajinga nchini kwenye kila tafiti

Be genuine, hakuwa EL awe huyu?
 
Haya, kama anakuwa rais kwa wewe kulazimisha haya atakuwa rais

Ndio nyie mnaongezq idadi ya wajinga nchini kwenye kila tafiti

Be genuine, hakuwa EL awe huyu?
Huo ndo ukweli wenyewe. Lissu ni raisi wa Tanzania coming October 2020. Najua hupendi ila ndo uhalisia. Hakuna chochote ambacho Lowassa amemshinda Lissu!
 
Back
Top Bottom