Uchaguzi 2020 Siku 13 za Tundu Lissu tangu aingie nchini Tanzania

Kumuachia TL na wafuasi wa CDM waandamane wanavyotaka mpaka wakachoka, siku amerudi, ilivunja kila plan ya kutaka kupata global sympathy
 
Dawa yao DStv tu kucheck Bbc sky news na cnn

Uku mpira na movie.
 
Wew jane unajitambua.unayoaje comment ya disqualify mtu bila ushahidi wa unayoaamini. Unanimis kitu week end hii.
 
Vijana hao ni wale wengi walevi,wabwiya unga na wavuta bangi.Kazi yao kubwa ushabiki na kumjaza ujinga mgombea ,hawajui hata pa kujiandikisha kupiga kura ni wapi.
 
Mwenye kujua naomba anisaidie hivi nawezaje kuondoa au kufuta chanel zote za ndani kwenye kingamuzi changu?
Kwangu nilishafuta Tbc channel 10 Eat ☆tv Itv ndo naendelea kujaribu kuifuta.Kwangu nimebakiza Utv upendo
 
Hatuli masanduku sisi.Wewe naona unayabugia.Akili ndogo haina hekima wala maarifa.Kufikiri kwake ni kudogo mno.
 
Mdanganyeni Mwenyekiti wenu The Hague itamuhusu..kwenda jela uzeeni choo kweli 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…