Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana ake huenda likawa Ni tatizo la kisaikolojia zaidi?Inabidi wanaume waelimishwe kuwa kufanya mapenzi yanayohusisha penetration halafu ukawa huwezi kufika kileleni ni upungufu wa nguvu za kiume, sijui nani aliidanganya jamii kuwa kuwa kuwahi kileleni pekee ni upungufu wa nguvu za kiume, hasha! hata kuchelewa sana ni upungufu wa nguvu za kiume.
Asiyekuwa na upungufu wa nguvu za kiume ni yule anayefika kileleni kwa muda sahihi (kitaalamu) au anayeweza kukichelewesha kilele (kuhold) kwa sababu anazozijua yeye, lakini akili yake ikimwambia afike anafika.
Mi ninachoona hapa ni pengine una athari za kuangalia porno, hivyo waone wanasaikolojia wakusaidie, Kila la heri.
Yes dear...Maana ake huenda likawa Ni tatizo la kisaikolojia zaidi?
Hutaishi maisha marefu, umewekeza akili down sanaKINGINE,
[emoji117]Sio kwamba hivi karibuni ndo nmeanza kufanya mapenzi mfulurizo, bali huwa nafanya mapenz sana kila mara nnapopata muda, ila haiwezi kupita zaidi ya siku 2 sijafanya mapenzi. Siku 3 na zaidi kupita sijafanya mapenzi labda Itokee dharula kubwa Sana Kama safari,migogoro ya kimahusiano n.k. Napo Ni nadra Sana.
[emoji117]Hii Hali ya kubana mbegu zisitoke nmekua naifanya kila Mara nnapohisi mwenza wangu Yuko siku za hatar kuepusha kummwagia kumpa mimba.
Hofu yangu Ni kwamba hali Hii isije kua imeuathiri moja kwa moja mwili wangu mbegu zisitoke kabisa au ni kwamba mbegu uko chini ndo Sasa hivi zimeisha?[emoji848]
[emoji117]Hali hii niliyonayo Sasa ni nikiingiwa tu na hamu ya mapenz,uume unasimama HARAKA Sana na unakazamisuli mpk unaniuma sana. NAFUU yake labda nipate mkojo wa kawaida nikakojoe ndo ilale au Nikafanye mapenzi
[emoji117]Hivi Sasa Nna maumivu makali kiunoni, miguuni na mabegani. Bado makovu mabichi ya kwenye viwiko na ulimi kujing'ata kutokana na kufanya mapenzi mfulurizo.
Kiufupi mwili wote sasa umechoka,
ila Sasa nnapokua na hamu ya kufanya, uchovu wote sehem nyingine unakua Hauna Tena maana kwangu.
Na maumivu yote yanaamia kwenye uume tu na najikuta narudi kule kule kwenye kufanya Ili angalau niisugue Sana nipate nafuu au ninywe maji mengi nilazimishe nipate mkojo wa kawaida nikakojoe ndo ilale.
Kaka mkubwa ipo hivi, unaweza kua na u.t.i... matumizi ya pombe kupita kiasi,.... Stress pia zinapelekea hvo...... Kitu kingine lbd una tatizo la mbegu kuingia kweny kibofu badala ya kutoka nje....... Jitahid ubaki na mchepuko mmja tu.... Sidhan kama unaelekea pazuriKINGINE,
[emoji117]Sio kwamba hivi karibuni ndo nmeanza kufanya mapenzi mfulurizo, bali huwa nafanya mapenz sana kila mara nnapopata muda, ila haiwezi kupita zaidi ya siku 2 sijafanya mapenzi. Siku 3 na zaidi kupita sijafanya mapenzi labda Itokee dharula kubwa Sana Kama safari,migogoro ya kimahusiano n.k. Napo Ni nadra Sana.
[emoji117]Hii Hali ya kubana mbegu zisitoke nmekua naifanya kila Mara nnapohisi mwenza wangu Yuko siku za hatar kuepusha kummwagia kumpa mimba.
Hofu yangu Ni kwamba hali Hii isije kua imeuathiri moja kwa moja mwili wangu mbegu zisitoke kabisa au ni kwamba mbegu uko chini ndo Sasa hivi zimeisha?[emoji848]
[emoji117]Hali hii niliyonayo Sasa ni nikiingiwa tu na hamu ya mapenz,uume unasimama HARAKA Sana na unakazamisuli mpk unaniuma sana. NAFUU yake labda nipate mkojo wa kawaida nikakojoe ndo ilale au Nikafanye mapenzi
[emoji117]Hivi Sasa Nna maumivu makali kiunoni, miguuni na mabegani. Bado makovu mabichi ya kwenye viwiko na ulimi kujing'ata kutokana na kufanya mapenzi mfulurizo.
Kiufupi mwili wote sasa umechoka,
ila Sasa nnapokua na hamu ya kufanya, uchovu wote sehem nyingine unakua Hauna Tena maana kwangu.
Na maumivu yote yanaamia kwenye uume tu na najikuta narudi kule kule kwenye kufanya Ili angalau niisugue Sana nipate nafuu au ninywe maji mengi nilazimishe nipate mkojo wa kawaida nikakojoe ndo ilale.
Sijawahi kuugua ugonjwa wowote wa zinaa Wala UTI zaidi ya miaka 40 imepita Sasa tangu nmezaliwa mkuuKaka mkubwa ipo hivi, unaweza kua na u.t.i... matumizi ya pombe kupita kiasi,.... Stress pia zinapelekea hvo...... Kitu kingine lbd una tatizo la mbegu kuingia kweny kibofu badala ya kutoka nje....... Jitahid ubaki na mchepuko mmja tu.... Sidhan kama unaelekea pazuri
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hilo la kuchelewesha kuhold nmekua nikifanya Mara kwa Mara Kisha nikiamua NAKOJOA vizur tu,Inabidi wanaume waelimishwe kuwa kufanya mapenzi yanayohusisha penetration halafu ukawa huwezi kufika kileleni ni upungufu wa nguvu za kiume, sijui nani aliidanganya jamii kuwa kuwa kuwahi kileleni pekee ni upungufu wa nguvu za kiume, hasha! hata kuchelewa sana ni upungufu wa nguvu za kiume.
Asiyekuwa na upungufu wa nguvu za kiume ni yule anayefika kileleni kwa muda sahihi (kitaalamu) au anayeweza kukichelewesha kilele (kuhold) kwa sababu anazozijua yeye, lakini akili yake ikimwambia afike anafika.
Mi ninachoona hapa ni pengine una athari za kuangalia porno, hivyo waone wanasaikolojia wakusaidie, Kila la heri.
Pengine ndio athari zimeanza.Hilo la kuchelewesha kuhold nmekua nikifanya Mara kwa Mara Kisha nikiamua NAKOJOA vizur tu,
ila Sasa imefikia hatua nahitaji kukojoa mwenyewe kwa hiari yangu bado inashindikana.
Mbona 'dear' tena au ndo unakitegeshaYes dear...
Dear ni neno la kawaida, je kwako ni la anasa? Sorry huwa sikitegeshi sababu hata PM yangu imefungwa hakuna sehemu ya kupita. I was just concerned with my fellow JF member.Mbona 'dear' tena au ndo unakitegesha
Tuliosoma 'cuba' tumeelewa sanaDear ni neno la kawaida, je kwako ni la anasa? Sorry huwa sikitegeshi sababu hata PM yangu imefungwa hakuna sehemu ya kupita. I was just concerned with my fellow JF member.
Shukran Sana mkuu,Inabidi utumie sea food Sana kuanzia saizi, pia kama una nafasi Kuna samaki anaitwa sea horse (farasi wa baharini)huyo pichani anasaidia kutibu magonjwa ya Maumivu ya mwili,uchovu,mgongo. Unaweza ukawa unamloweka kwenye juisi,maji,chai,supu au pombe Kisha unakunywa asubuhi na jioni. Unaweza mtumia hata mwaka au ukakata vipande ukamla. Huyo samaki anatumiwa Sana na wachina (Chinese herbs). Dar ukienda kivukoni pale ferry unaweza kumpata ingawa anavuliwa bahari kuu maeneo ya Kilwa au Mafia Bei kuanzia 15000 mpaka 20,000 Kwa mmoja yupo Sawa na kidole Cha mkono.
View attachment 2192408
Angalizo Kuna wafilipino walikuwa Bongo wakawa wanamtumia huyo kwenye pombe wao wanasema wanapata hamasa zaidi kama Yako kufanya kazi za kibailojia.