Gharama na stress inayotokana na punyeto ni kubwa sana kuliko gharama ya mahusiano.Yaani umechukua maamuzi ya ovyo kweli umeacha Punyeto umeanzisha mahusiano na mwanamke huoni kama umejiongezea gharama na stress za kumridhisha wacha kudharau chama kilokufundisha ukubwa bila gharama kimekutunzia siri 15 Leo unakuja kukidhalilisha hapa JF kweli
Nyeto inaepusha magonjwa, inaepusha majanga, inakuza uchumi wa mwanaume, inaepusha kifungo cha miaka 30, inaepusha stress kabisa, inaongeza umakini, inamfanya mtu awe mwepesiiiiiiiiiiii, unaweza kupata huduma "popote,muda wowote na saizi yoyote uipendayo", inakuepusha na hamida, haiombi hela, unaaminika katika jamii n.k.
Pia Mungu alipomuumba mwanaume kaweka system ya nyeto ambayo ni wireless (wetdreams) makusudi ili kuepusha majanga kwa mwanaume.
Cha msingi dozi iwe ya wastani angalau 1-5 kwa wiki.
Jamaa hafai kabisa....watu na ndoa zao lakini besheni must..ps2 2014,
Yaani umechukua maamuzi ya ovyo kweli umeacha Punyeto umeanzisha mahusiano na mwanamke huoni kama umejiongezea gharama na stress za kumridhisha wacha kudharau chama kilokufundisha ukubwa bila gharama kimekutunzia siri 15 Leo unakuja kukidhalilisha hapa JF kweli
Hizo zote ulizozitaja si sababu mkuu tatizo la huu mchezo ni kuanza tu mara ya kwanza ukauzoea... unakuwa unajirudia automatically.. usimshawishi mtu ajiingize madhara yake ni mengi sana achilia mbali hayo ya nguvu za kiume yapo mengi hata ya kimaisha ingawa hayasemwi tu hadharaniNaomba kuuliza sbb ya nyeto ni nini?! Huwezi kutongoza , huna pesa so unaogopa mademu ni gharama au sababu nini haswa embu nielezeni.
Nataka kuzijua sababu haswaaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umeongea ukweli tupu,hadharani hapa hawaongeiHizo zote ulizozitaja si sababu mkuu tatizo la huu mchezo ni kuanza tu mara ya kwanza ukauzoea... unakuwa unajirudia automatically.. usimshawishi mtu ajiingize madhara yake ni mengi sana achilia mbali hayo ya nguvu za kiume yapo mengi hata ya kimaisha ingawa hayasemwi tu hadharani
mimi na siku tatu sipigi
Hizo zote ulizozitaja si sababu mkuu tatizo la huu mchezo ni kuanza tu mara ya kwanza ukauzoea... unakuwa unajirudia automatically.. usimshawishi mtu ajiingize madhara yake ni mengi sana achilia mbali hayo ya nguvu za kiume yapo mengi hata ya kimaisha ingawa hayasemwi tu hadharani
Mimi nikiona bando langu limekaribia ku expire kama mb zipo za kutosha ndio nazama huko
Duh! Kwa hiyo mkuu kwa siku hizi 350+ akili yako imeongezeka? Tukutegemee kukuona unachukua tuzo ya nobel?Punyeto Ina athiri mfumo wako wa akili, hill ni tatizo kubwa sana,kwa sababu akili ndio dira ya mwanadamu,pamoja na madhara mengine mengi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
mzee test mitambo ucheki cheche zen kaboom π₯π₯π₯Punyere addiction is overrated, haina uraibu wa kiivyo mpaka watu wa struggle kwelkweli ku-quit.
Ujinga wa puli ni kuji feel guilty baada ya kujilipuamzee test mitambo ucheki cheche zen kaboom π₯π₯π₯