124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
Mbaya zaidi anafikiri na kuamini huyo naseeb anaakili kuliko yeye!jamaa kashavurugwa huyu...hawa ni aina ya watu ambao hawawezi kuwaambia ukweli maboss wao!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya zaidi anafikiri na kuamini huyo naseeb anaakili kuliko yeye!jamaa kashavurugwa huyu...hawa ni aina ya watu ambao hawawezi kuwaambia ukweli maboss wao!!
Nna was was na uwezo wako wa kufikiri we jangwa.nakushaur ujitambue kwanza kisha ndo uwe unaandikahumu jf.inaonekana hata elim yako ni tatizo pia.sina nia mbaya kabisa lakini nimekuwa nikifautilia post zako naona kama weee ni mtoto ulie kulia malez ya kihunhun na starehe tena umelelewa na mzazi mmoja kama sikosei.hata kama umeajiliwa na diamond jufanya kaz zake kama hiv lakini kuwa makin maan unapoteza radha hata ya huyo boss wako.kwa upande wangu makosa yako ni haya.
1.unapost kila siku na kila wakat kuhusu diamond(sio mbaya)lajin kumbuka hii inaboa watu na unamfanya diamond aonekane wa kawaida na watu wenye busara wanakudharau na kukuona we muhun na kumdharau hata huyo alie kutuma.
2.unatukanana na watu humu hasa wale wanaoonesha kukupinga(najua na na mm utanitukana)na hivo kutupa wakati mgumu kukutafsir
3.unaongelea sana wanaompinga diamond na kutoa maneno makali kwao hii inamaanisha huna uhakika na kile unachofanya.
4,haujiamini
5.unapost mazur tu na mabya pia yapo!
Ni hayo tu bwana mdogo nasubil jibu ili niprove uwezo wako wa uelewa
diamond anaendesha
music wake kisasa kuliko
mnavyofikilia..hafanyi kila kitu peke
yake..na
WASAFI siyo jina tu kajiitia..ile ni
kampuni watu tumeajiliwa pale
kila mtu ana kitengo chake
kuwezesha msic wake uendelee
kusonga na nina
mshahara mkubwa pengine kuliko
wewe unaepiga domo hum..na
kupost habari
za naseeb hum napost kwa matakwa
yangu coz cwez kuacha kuandika
habari
za boss wangu nipost habri za
timburo or nani cjui....
wachawi wengi sana hii duniawewe mzima kweli?
Umeshaingiliwa tayari wewe!
Umevurugwa!
Hakuna asiyekubali diamond ni msanii mzuri na mwenye mafanikio ila tatizo lipo ktk hiyo management yake,
management ndio itamwangusha ktk safari yake ya kufikisha mziki wetu mbali HASA UWEPO WAKO KTK HIYO CREW,nadhani kutakuwa na wehu wengine zaidi yako ndio wamekuchagua wewe uje kupost huku
Mzee nakuonaga jukwaa la siasa unavyoipigania chadema mtu yoyote akiwa against ya chadema utatoka povu as if umetukaniwa mama yako.Next time nitakuumbua wewe acha kunitag tag Hili Ni onyoinnocent dependent njoo uone die hard fan wa WCB ambaye alikua mpiga picha wa Diamond alivyokua anapigania chama lenu humu na ambapo yupo sasa.
hahahahahahah tayari umeshapanicMzee nakuonaga jukwaa la siasa unavyoipigania chadema mtu yoyote akiwa against ya chadema utatoka povu as if umetukaniwa mama yako.Next time nitakuumbua wewe acha kunitag tag Hili Ni onyo
hili kaburi limefukuliwa mahususi kwa ajili ya innocent dependent ajionee kifesi alivyokua anakesha hapa kuipambania WCB.Wazee mmeshafukua makaburi
Huyu mtu nani alimpa banned for life uku.Hivi huna mambo ya maana ya kufanya
Inaonekana jamaa ni mtu mzima haswa[emoji16]Huyu mtu nani alimpa banned for life uku.
Watu tunakosa vitu vizuri uku hadi Twitter hakika kifungo hichi sio poa, member since 2007
innocent dependent njoo uone die hard fan wa WCB ambaye alikua mpiga picha wa Diamond alivyokua anapigania chama lenu humu na ambapo yupo sasa.
nyie mashabiki kindaki-ndaki mtuambie alipo huyu kifesi.Saivi yuko wapi!? Diamond kapambana sana aisee...
Haters since day One!
Yaaani mwenyewe hadi nimeshangaa, nahisi kipindi icho alikuwa anatumia PC maana smartphone ingawa zilikuwepo kidogo
Huyu si alipokua maarufu Insta akaona Huku watu wana mchallenge sana akapiga chini.Huyu mtu nani alimpa banned for life uku.
Watu tunakosa vitu vizuri uku hadi Twitter hakika kifungo hichi sio poa, member since 2007