Siku akitoka madarakani hataamini macho na masikio yake kwa wale waliokuwa wanampigia makofi na vifijo

Siku akitoka madarakani hataamini macho na masikio yake kwa wale waliokuwa wanampigia makofi na vifijo

Ni Kama kausahau unafiki wa Watanzania,

Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya

Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka wakiibua hoja hizi

Tunataka kujua mchakato wa manunuzi ya ndege zetu kuna harufu fulani

Kuna waliopotea bila kuonekana najua kuna mahojiano yataanza sana

Kina Rugemalila wa Escrow wako tiyari kukaa ndani Kwa miaka ningine 6 ili akija mwingine ayatengue haya,

Yatasemwa mengi ngoja niishie hapa kwanza

Kumbe kuna ufalme mara mbili kuna ule wa kuwa nao milele, lakin kuna wa kuonjeshwa na muda wake ukaisha ni mbaya sana

Nutafufua uzi huu mwaka 2028 panapo majaliwa Mungu atupe uzima
Britannica
Utaufufua uzi huu 2028 kama jf haitafungiwa..Udictator utakaofanyika katika kipindi cha pili (2020-2025) utakuwa wa machozi jasho na damu!.

Kuna watu watakatwa mwakani kwenye kura za maoni na hawatakubali dictator jiwe azime ndoto zao za kisiasa.

Issue ya mrithi wa kiti cha magogoni nayo itakuwa moto, mtu atakayeachiwa ni kutoka kanda pendwa, hapo ndio mgawanyiko utakapoanzia.
 
Ni Kama kausahau unafiki wa Watanzania,

Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya

Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka wakiibua hoja hizi

Tunataka kujua mchakato wa manunuzi ya ndege zetu kuna harufu fulani

Kuna waliopotea bila kuonekana najua kuna mahojiano yataanza sana

Kina Rugemalila wa Escrow wako tiyari kukaa ndani Kwa miaka ningine 6 ili akija mwingine ayatengue haya,

Yatasemwa mengi ngoja niishie hapa kwanza

Kumbe kuna ufalme mara mbili kuna ule wa kuwa nao milele, lakin kuna wa kuonjeshwa na muda wake ukaisha ni mbaya sana

Nutafufua uzi huu mwaka 2028 panapo majaliwa Mungu atupe uzima
Britannica
Siku mtukufu magufuli anatoka ikulu ndiyo siku hiyo hiyo Bashite atahama Nchi pamoja na kikundi chake chote cha akina cyprian Musiba, Le mutuz na huyo mchochezi mpya anaitwa Joseph yona huwatishia watu kwenye Group za Whatsapp lakini akiwa JF hana ujanja hupigwa mpaka analegea
 
Utaufufua uzi huu 2028 kama jf haitafungiwa..Udictator utakaofanyika katika kipindi cha pili (2020-2025) utakuwa wa machozi jasho na damu!.

Kuna watu watakatwa mwakani kwenye kura za maoni na hawatakubali dictator jiwe azime ndoto zao za kisiasa.

Issue ya mrithi wa kiti cha magogoni nayo itakuwa moto, mtu atakayeachiwa ni kutoka kanda pendwa, hapo ndio mgawanyiko utakapoanzia.

Watakaokatwa majina yao 2020 wataungana na kuwasha Moshi wa Ruangwa kila kona mpaka magufuli apaliwe aachie madaraka uchaguzi urejewe tena
 
Msiba alishindwa kulipa mahari baba rizmoko akamlipia lakini leo hii anamdhalilisha kama hana akili nzuri vile. Mfadhili mbuzi kuna siku utamla ndafu lakini binadamu kuna siku atakuudhi tu.
 
Jamaa mmoja hivi ana kichwa kama ana utindio wa ubongo
Mwe mwe mwe!!!!!!
FB_IMG_1553521287852.jpeg
 
Ni Kama kausahau unafiki wa Watanzania,

Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya

Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka wakiibua hoja hizi

Tunataka kujua mchakato wa manunuzi ya ndege zetu kuna harufu fulani

Kuna waliopotea bila kuonekana najua kuna mahojiano yataanza sana

Kina Rugemalila wa Escrow wako tiyari kukaa ndani Kwa miaka ningine 6 ili akija mwingine ayatengue haya,

Yatasemwa mengi ngoja niishie hapa kwanza

Kumbe kuna ufalme mara mbili kuna ule wa kuwa nao milele, lakin kuna wa kuonjeshwa na muda wake ukaisha ni mbaya sana

Nutafufua uzi huu mwaka 2028 panapo majaliwa Mungu atupe uzima
Britannica
uzi huu utafufuka January 2021 wakati watu wanakimbizana kutafuta mitumbwi kule Bagamoyo & Mafia ya kuwavusha mafichoni Comoro!
 
Maneno ya kukata tamaa ya maisha, acha kupoteza muda kusubiri Magufuli ashindwe, jaribu hata kupigia simu wazazi/ndugu/jamaa au marafiki uwaambie kwamba unawapenda angalau upate thawabu kama hata unaamini.

Magufuli ni Raisi wa V wa JMTZ, hahitaji kuthibitisha chochote kwako!
Ni kama haujaelewa alichokiandika mleta uzi; kwenye maelezo yake amesema ifikapo mwaka 2026, ambapo ni iwe au usiwe lazima Magufuli aachie ngazi kwa mujibu wa katiba. Hivyo basi anakubali kuwa 2020 mpaka 2026 bado JPM atakalia usukani jambo ambalo hata mimi nitafurahi kuona linatokea ila ikifika 2026 aachie tu kiroho safi!
 
Ni Kama kausahau unafiki wa Watanzania,

Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya

Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka wakiibua hoja hizi

Tunataka kujua mchakato wa manunuzi ya ndege zetu kuna harufu fulani

Kuna waliopotea bila kuonekana najua kuna mahojiano yataanza sana

Kina Rugemalila wa Escrow wako tiyari kukaa ndani Kwa miaka ningine 6 ili akija mwingine ayatengue haya,

Yatasemwa mengi ngoja niishie hapa kwanza

Kumbe kuna ufalme mara mbili kuna ule wa kuwa nao milele, lakin kuna wa kuonjeshwa na muda wake ukaisha ni mbaya sana

Nutafufua uzi huu mwaka 2028 panapo majaliwa Mungu atupe uzima
Britannica
Mkùu una maono makubwa
 
Back
Top Bottom