Siku akitokea Rapa mkali kuliko FID Q naomba mnishtue

Siku akitokea Rapa mkali kuliko FID Q naomba mnishtue

Kwenye mada kama hizi ndo naelewa kweli mimi siujui mziki,

Kuna wasanii nawaona Kama so special wangepaswa ndo wawe kweny Top of the list, lakin ndo ata kutajwa hawatajwi, nisio wafikiria ndo wanao onwa ni bora,
Imagine anatajwa niki mbishi kabla ya Ngwea, Chidbenz, Langa, how!!!

Okey, Top five ya wasanii wangu bora wa mda wote Tz
Prof jay
Ngweir
Fid q
Juma nature
Chidbenz
 
Ni mtazamo tu ila wanaosema ProffesorJay nawashangaa kidogo.....
Yangu ipo hivi ( haijapangiliwa)
Nikki
F.A
Stereo
Afande
Mawenge
 
Kwenye mada kama hizi ndo naelewa kweli mimi siujui mziki,

Kuna wasanii nawaona Kama so special wangepaswa ndo wawe kweny Top of the list, lakin ndo ata kutajwa hawatajwi, nisio wafikiria ndo wanao onwa ni bora,
Imagine anatajwa niki mbishi kabla ya Ngwea, Chidbenz, Langa, how!!!

Okey, Top five ya wasanii wangu bora wa mda wote Tz
Prof jay
Ngweir
Fid q
Juma nature
Chidbenzi
Tunapokuwa masikani masela hatuna kituuu!!!!! Sisi!
Rafiki zetu wanadhani msela nina kitu! Sisi!
Na matokeo yake vurugu kila siku! Sisi!
Sababu yote msela mfukoni sina kitu! Sisi!
Tunapokuwaaaa! Sisi!
Hatuna kituuuu! Sisi!
Mtueleweee! Sisi!
Hatuna kitu!! Sisi!

Yeah!
Juma Nature...Sir Nature a.k.a Msitu wa vina!

Na makamuzi yoooote yaleyale ni lazima muyaelewe babake!

Mapanga sha!
sha! sha! sha!
Kuku kuku jogoo jina!
 
Nashukuru kwa tag

Binafsi nilikuwa inspired sana na Fid Q na niweke wazi kuwa ni msanii ambaye nimemsikiliza sana ( sina maana nimesikiliza ngoma zake zote)

Kwangu mimi Fid Q sioni kama itakuwa ni heshima kumuita Rapa, huyu kwangu ni MC bora ila kwasasa namuona kama legendary zaidi.

Namuona legendary kwasababu katika current industry siyaoni yale makali yake ambayo yalikuwa yananikosha kipindi kile

Hata humu katika comments za wadau wengi wamekuwa wakitoa references za nyimbo zake za zamani kama ni nyimbo kali zilizofanya wamkubali Ngosha.

Ngoma yake ya mwisho kuikubali ya miaka ya hivi karibuni ni Sumu (hii ni personal perspective na sio universal perspective)

Alichokuwa anakifanya miaka ile na nikakipenda, kimekuwa kikifanywa na ma underground chipukizi kama Dizasta Vina, Nala Mzalendo, Mawenge, nk

So kwangu mimi Fid Q ni legendary anayeishi ila katika current industry kuna wadogo zake ambao aliwa inspire na sasa wanapita zile njia zilizofanya nimkubali.
 
Nashukuru kwa tag

Binafsi nilikuwa inspired sana na Fid Q na niweke wazi kuwa ni msanii ambaye nimemsikiliza sana ( sina maana nimesikiliza ngoma zake zote)

Kwangu mimi Fid Q sioni kama itakuwa ni heshima kumuita Rapa, huyu kwangu ni MC bora ila kwasasa namuona kama legendary zaidi.

Namuona legendary kwasababu katika current industry siyaoni yale makali yake ambayo yalikuwa yananikosha kipindi kile

Hata humu katika comments za wadau wengi wamekuwa wakitoa references za nyimbo zake za zamani kama ni nyimbo kali zilizofanya wamkubali Ngosha.

Ngoma yake ya mwisho kuikubali ya miaka ya hivi karibuni ni Sumu (hii ni personal perspective na sio universal perspective)

Alichokuwa anakifanya miaka ile na nikakipenda, kimekuwa kikifanywa na ma underground chipukizi kama Dizasta Vina, Nala Mzalendo, Mawenge, nk

So kwangu mimi Fid Q ni legendary anayeishi ila katika current industry kuna wadogo zake ambao aliwa inspire na sasa wanapita zile njia zilizofanya nimkubali.
Yeah!
Fid ni legendary na wasanii wa hip hop ndivyo wanavyomheshimu. Kwenye remix ya Uno "incredible" Stereo naye ndivyo alivyo mtaja!

"legend ka Farid nazidi kutema knowledge"

Marehemu Godzilla kwenye Cheusi Dawa ya Fid kwenye free style yake alitoa hilohilo kuwa brother Ngosha ni legend!!!
 
Kwenye mada kama hizi ndo naelewa kweli mimi siujui mziki,

Kuna wasanii nawaona Kama so special wangepaswa ndo wawe kweny Top of the list, lakin ndo ata kutajwa hawatajwi, nisio wafikiria ndo wanao onwa ni bora,
Imagine anatajwa niki mbishi kabla ya Ngwea, Chidbenz, Langa, how!!!

Okey, Top five ya wasanii wangu bora wa mda wote Tz
Prof jay
Ngweir
Fid q
Juma nature
Chidbenz
Juma nature? Hip hop?

Ni kweli mkuu, haujui muziki.
 
The real fidQ, huyu jamaa anajua nafikili akichimba atamuachia Dizasta vina kuwa king wa Bongo hip hop hawa marapa wengine wameshindwa kufikia ata nusu ya hawa jamaa
 
Young killer nae ni noma sana, kaua ile mbaya kwenye albamu yake.
 
Fid Q
Chid benz
Ngwair
Nick mbishi
Professa J
Dizasta vina
nash mc mwenye VVU
One
Stereo
Afande sele
FA
Killer msodoki
Stamina
Lord eyes
Bonta maarifa
Conboi cannabino
Malume
ndo watu naowaelewa zaidi
 
Faida na hasara za usomaji vitabu/maandishi/bookish/bookworm/avid reader...Hasara mojawapo kubwa usipokuwa makini utakuwa unacopy na pia unaelea-elea katika mawazo/mitazamo/fikra na tafiti za watu:Muhimu sana kutazama uhalisia wa mazingira yako na kutokuwa dodoki....FID Q maandishi yake katika nyimbo zake nyingi yanaangukia katika hasara tajwa hapo juu.

Tupe msanii maandishi hayaangukii hapo
 
Strength & weakness ni nyng namm ni mvivu wa kuandika magazeti.
Strength kubwa ni Ujumbe anaospit, technicality kwenye uandishi (wordplay, metaphor, similes, double/tripple entendres, schemes na punchlines)

Weakness kubwa ni low audibility...Hasikiki na matamshi yake na maneno anayochagua (wordchoice) inakuwa ngumu kueleweka mpaka mtu atafute lyrics (Kutoeleweka sio sifa ya sanaa.Inabidi ajaribu kuwa more conscise), pia aongeze versatility ya kuendana na wakati (Although recently amerekebisha hili ila bado anatakiwa kuimprove zaidi maana hajafikia versatility ya dogo kama Young killer), Aimprove Beat selection and Voice versatility(Yeye sauti na tone ni ileile kila ngoma, tone fulani ya kukaza...Najua unaijua) nk. Nk.

But all in all mazuri ni mengi kuliko mabaya..And he will no doubt go down as one of, if not the Best rappers to ever spit in the swahili language.
Salute
 
Killer kaua sana kwenye Albamu yake. Hatari sana yule dogo.
Fid Q
Chid benz
Ngwair
Nick mbishi
Professa J
Dizasta vina
nash mc mwenye VVU
One
Stereo
Afande sele
FA
Killer msodoki
Stamina
Lord eyes
Bonta maarifa
Conboi cannabino
Malume
ndo watu naowaelewa zaidi
 
Back
Top Bottom