Siku ambayo wife alinipa kipigo cha paka mwizi...

Unanikumbusha kuchapwa fimbo assemble ground et kisa nna uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi mwenzangu,
Usiku aliniita na kunipa shoo ya kibabe sana
 
Huyo ni mwanamke, sio mke.

Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
 
Ndio wako huyo, ishi naye kwa hekima.

Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
 
Ushini nao kwa akili. Kama hiyo ndio akili basi we ishi nae tu hamna namna. Kumbuka, ukimwacha tu unakuwa huna akili
 
Kumbe mwanaume anaweza pelekwa kupima ukimwi kizembezembe tu hivyo...
 
Mimi nilivyo mkali kwanza huo muda wa kunipiga na hivyo vyote anapata wapi? Neeeeeh in magu voice itakuwa kesi kubwa kabisa
 
vipi Salma bado upo naye?
 
Hta mimi kipande hicho kimenitafakarisha sana,hadi nimejiuliza

huyu jamaa hiyo siku alimuazima mtu mikono yake nini,ila hata kama

hana mikono Meno je? Miguu je? hii story inaweza kuwa na chumvi kdg

ila ukweli pia upo sasa kujua part ipi uongo ipi ukweli ndio changamoto.
 
Uzi huu ungekuwa kwenye jukwaa la kula Tunda kimasihara 😜 ungependeza sasa
 
Dah mi akijaribu mwanamke nitamgeuza punching bag mpaka nitafanya mazoezi kwake mpaka nichoke.gym session complete.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…