Siku Bima ya Afya kwa wote ikianza ndiyo utagundua wananchi wengi walikuwa wanatibiwa kwa Mwamposa na kwa waganga!

Siku Bima ya Afya kwa wote ikianza ndiyo utagundua wananchi wengi walikuwa wanatibiwa kwa Mwamposa na kwa waganga!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Sina hakika kama wananchi wengi huwa hawaugui, ila ninachofahamu ni kwamba wananchi maskini walio wengi hutibiwa kwa akina Mwamposa, kwa waganga wa kienyeji au hunywa tu mwarobaini.

Hivyo Bima ya Afya kwa wote itaimarisha afya za Watanzania kwa sababu wote watatibiwa hospital kwa huduma za kisasa kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki.
 
Yes, kwa maoni yako.

Kuhusu hii bima ni nzuri, sawa.

Wasiwasi wangu ni mmoja, ikiwa hii mifuko tu yenye idadi ndogo ya wanachama imewashinda kuiendesha,

Je, wataweza kusimamia bima ya afya kwa wa Tanzania wote?

Watatumia mbinu ipi?
Hiyo ndio Changamoto
 
Nilichoona ni tamko na mswada then sijui sheria or what, maandalizi yako vipi
Muswada utajadiliwa kwenye bunge lijalo

Sina hakika kama tuna Wabunge mahsusi wa kujadili muswada huu kwa kina

Nakumbuka Sera ya Bima ya afya kwa Wote na ile ya Elimu Bure zilikuwa za Chadema lakini Shujaa Magufuli alizipenda na kuzichukua
 
Muswada utajadiliwa kwenye bunge lijalo

Sina hakika kama tuna Wabunge mahsusi wa kujadili muswada huu kwa kina

Nakumbuka Sera ya Bima ya afya kwa Wote na ile ya Elimu Bure zilikuwa za Chadema lakini Shujaa Magufuli alizipenda na kuzichukua
Don't mention political parties in national issues
 
Back
Top Bottom