Siku Bima ya Afya kwa wote ikianza ndiyo utagundua wananchi wengi walikuwa wanatibiwa kwa Mwamposa na kwa waganga!

Nina uhakika kuwa, kanuni na taratibu za uendeshaji wa bima hiyo zitakuwa za kipigaji kama zilivyo kwa NHIF ya sasa au mifuko mingine ya mafao iliyokufa au ipo njiani kufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…