Siku binti yako akisoma nyuzi na maoni yako atafurahi au atasikitika?

Siku binti yako akisoma nyuzi na maoni yako atafurahi au atasikitika?

Natumaini nimekuwa mtetezi wa wanawake vya kutosha, kwa kiasi ambacho atafurahia.

Hata sasa kuna wanawake wengi hapa JF wanafurahia michango yangu.

Kwa kweli Binti yangu akiwa mpumbavu atanichukia vilivyo, Hilo halitaniumiza kuchukiwa na Binti mpumbavu.

Lakini kama atakuwa mwerevu na mwenye hekima basi atajivunia Baba yake
 
😥Tena akifika kwenye mada ya mbuzi kagoma 🙆

😂😂
Hapo ndipo ubaya wa mtandao ulipo.
Ingawaje akiwa mwerevu ataweza ku-judge Kwa Hekima.
Lakini ishu ni pale unaponda maumbile ya Watu alafu moja ya Watoto wako wawe na maumbile hayo
 
Wale wa kataa ndoa
Ndoa ni utapeli
Linda afya ya akili
Kataa ndoa

Tunaruhusiwa ku comment
 
Back
Top Bottom