Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Natumaini nimekuwa mtetezi wa wanawake vya kutosha, kwa kiasi ambacho atafurahia.
Hata sasa kuna wanawake wengi hapa JF wanafurahia michango yangu.
Daaah,sijui itakuwaje π€π
π₯Tena akifika kwenye mada ya mbuzi kagoma πItakuwa Moto juu ya mwamba
π₯Tena akifika kwenye mada ya mbuzi kagoma π
Inabidi nikague simu ya mzee km anatumia jfπWahuni wanasema kila mtu ashinde mechi zake .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Inabidi nikague simu ya mzee km anatumia jf[emoji23]