Siku, dakika za mwisho kabla ya Ben Saanane kutoweka

Hata kama nitapita miaka 20 haya mambo yatakuja kuwa hadharani na waliohusika hata kama ameshakuwa vikongwe watasongezwa kwa pirato kujibu tuhuma. Jinai huwa haiozagi ... ndipo utamu ulipo.
 
Hata kama nitapita miaka 20 haya mambo yatakuja kuwa hadharani na waliohusika hata kama ameshakuwa vikongwe watasongezwa kwa pirato kujibu tuhuma. Jinai huwa haiozagi ... ndipo utamu ulipo.
Na habari za Ben hazitofutika milele kwa vizazi na vizazi
 
Haikuwepo haja ya kumpoteza pamoja na ameuliwa na hawa madhalimu wakuja lakini yameshindwa kuuwa siri.
Ushindi ni kuuwa siri na sio kuuwa watu,ukiuwa mtu siri uhamia kwa wengine.Uwa siri usiuwe mtu.
 
Ukishajua kuwa Kuna kitu kinaitwa nyuma ya mapazia huna haja ya kulalama!
Ili siasa ziende kuna Mambo mengi huwa yanaendelea chini yake! Naandika kifumbo
Jamii ambayo haina nyuma ya pazia Ni rahisi kuteketea.
Inategemea na huyo aliyoko nyuma ya hiyo pazia sasa kama ni lucifer. lazima haya yatokee, nchi yenye viongozi ambao hawamtegemei Mungu wa kweli hata matukio ndio dalili zake hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
US is Watching ...Bashite Ushamezeshwa NDOANO ...On To The Nex One --KICHWA SAMAKI.
 
Uongozi wa chama alichokua anakifanyia kazi ni mzito sana kwenye ufuatiliaji wa hili jambo.
 
Hata kama nitapita miaka 20 haya mambo yatakuja kuwa hadharani na waliohusika hata kama ameshakuwa vikongwe watasongezwa kwa pirato kujibu tuhuma. Jinai huwa haiozagi ... ndipo utamu ulipo.
Daaah! Kesi ya mbowe imeibua mambo sana huyu ASP Jumanne Malangahe ahojiwe
 
Rip ben
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…