Frankly, namjua Ben Saanane vema. Naskitika Taifa Kukosa nguvukazi ya akili ya mtu huyu.
Siku kadhaa huwa nafikiria, hivi, enzi zile Wakoloni wa Kiingereza, wangeamua kum-silence kwa assassination, kipenzi chetu Baba wa Taifa, TANZANIA ingekuwaje leo?
Please Mh. Magufuli, kama Rais wa Nchi; please popote alipo Ben Saanane, iwe ni katika mikono ya watesi, basi usiifanye Nchi ikakosa huduma yake. Ben is something, Intelligent and a great person.
Mungu wetu, nakusihi mtazame na kumwokoa kiumbe wako mikononi mwa watesi wake popote alipo.Amen