mkuu wazo nzuri sana lakini hawa maharamia sidhani watakuacha salama labda ofisi ziwe nje ya TanzaniaNina mpango wa kuanzisha taasisi yangu ya ki intelijensia itakayofanya kazi km CBI. Nitaipa jina la TBI yaani Tanzania Bureau of Investigation.
Natafuta watu makini kutoka Marekani na uingereza pamoja na watanzania vijana kuifanya hiyo kazi
inawezekana wao ndo wahusika ndo maana mpaka sasa wako kimya na jalada la uchunguzi walifungaJe polisi na serikali wamefanya nini mpaka sasa? Ni jukumu la serikali kutoa taarifa kuhusu Ben Saanane.
Jambo Ia ajabu sana jalada la Ben saa nane limefungwa tayari hakuna chochote kinaendeleaKampuni ya simu ieleze,nani aliblock mawasiliano au namba ya Ben,ikibidi kesi ifunguliwe mahakamani kuilazimisha kampuni hiyo ieleze nani ameiwekea password simu ya Ben na pia kampuni hiyo ya simu ilazimishwe na mahakama kutoa particulars za mawasiliano yake, wakigoma basi mahakama ianzishe proceedings za "contempt of court order" na Mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo apelekwe jela kwa kushindwa kutii amri ya mahakama,iwe kampuni ya Vodacom,airtel,tigo,Mkurugenzi mkuu alazimishwe na mahakama kutoa details
Ben saa nane siamini kama tumempoteza huyu kijana naamini wote waliohusika kuna siku watavuna dhambi mshahara wa dhambi ni mauti kila mtu ambaye amehusika kuna siku atavunaNimemkumbuka Ben, this was his last post humu jf, ilipostiwa Nov 15, 2016
P.
Mkuu,nikiwahi kusema kuwa kama Taifa,rasilimali watu kama Ben,Malisa,Mnyika,Lissu,Zitto ni watu ambao hata kama ni watu wa "ukweli mchungu",lakini ni wajenga hoja wazuri ambao Taifa tungenufaika nao kama wangekuwa "wasiojulikana" kwa maslahi ya Taifa. As long as sote tu Watanzania,na lengo letu ni jema la kuijenga Tanzania,basi hata kama hawa watu ni "maadui kihoja",bado twaweza tumia uwezo wao wa kipekee kuinufaisha nchi.Frankly, namjua Ben Saanane vema. Naskitika Taifa Kukosa nguvukazi ya akili ya mtu huyu.
Siku kadhaa huwa nafikiria, hivi, enzi zile Wakoloni wa Kiingereza, wangeamua kum-silence kwa assassination, kipenzi chetu Baba wa Taifa, TANZANIA ingekuwaje leo?
Please Mh. Magufuli, kama Rais wa Nchi; please popote alipo Ben Saanane, iwe ni katika mikono ya watesi, basi usiifanye Nchi ikakosa huduma yake. Ben is something, Intelligent and a great person.
Mungu wetu, nakusihi mtazame na kumwokoa kiumbe wako mikononi mwa watesi wake popote alipo.Amen
Dah! Kumbe ndo hivyo mkuu?Alaaniwe Mbowe na genge lake. RIP saanane
Huyo "king of social network" aliyekuwa akimzungumzia Ben ni nani? Lemutuz au?Nimemkumbuka Ben, this was his last post humu jf, ilipostiwa Nov 15, 2016
P.
Kumbe wanalumumba mnaliamini mwanahalisi? Mara museme linapotosha na kulifungia, halafu tena unataka ndo litumike kwa reference. You can't have it both ways.Mbona hawajaongelea kuhusu comment ya mwanahalisi?Kwamba ben alionekana kwenye vijiwe vya kahawa?
Magazeti yakiandika habari huwa yanafuatiliwa na kufungiwa ama wanaitwa kuhojiwa. Sasa hili la Kubenea unataka chadema ndo wamuulize. Hizi akili za hii awamu taabu kweli kweli.Kubenea anasema , Ben anaonekana usiku na washkaji zake, kwa nini msianzie hapo? Machadema Akili zenu sawa na za nyumbu tu
Movie akati mtu kapotea, daah!Naona tunaandaliwa movie nyingine hapa
Mwisho gani?yana mwisho hayo
Kivipi ebu fafanuaAlaaniwe Mbowe na genge lake. RIP saanane
Mmelaaniwa pyuuu!Naona tunaandaliwa movie nyingine hapa
tutaendelea kesho mkuuBila shaka unaendelea mkuu
BACK TANGANYIKA
..Mr.gentleman ingependeza ungejiita Mr.Handsome.Alaaniwe Mbowe na genge lake. RIP saanane