Siku gani ulichacha hutaisahau?

Kuwa broke ni shida aisee... Hapo ndo utaelewa why wadada kumvumilia mtu ambae hana hela ni kazii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Inafika point unajiona falaa kabisaa yani mpaka unajichukiaa... Pesa sabuni ya rohoo[emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ujue sikuziweka hata kwenye pochi ili zisipotee nizione mkononi aki... Ilikuwa budget ya mpaka ijumaa!!

Natafuta wateja wa mayai hapa naona kimya! Kesho sasaaa sijuii
Hahaaa!mkononi ukiporwa je?

Nauli huna ila uhakika wa kula upooo!!!wateja watakuja tu! Ukikosa utakula mayai yenyewe baasii!!!?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unanikumbusha mbali dadekii yaani siku hiyo nguo zote kwenye kabati zitatolewa, mikoba zipu zinafunguliwa na kufungwa. Hakuna kitu kibaya Duniani kama shida hii nyimbo nzuri sijui kaimba nani?
Remmy Ongala kama sikosei.
Mmmh ...shost huyu haijui shida!

Una mwekundu ukachagua kula au kwenda hospital?

Kuna mwingine hata mia hana anaumwa na ana njaa

Sent using Jamii Forums mobile app


Never say never
 
Mwanamke mipango
 
WANAWAKE HAWAISHIWI MAMBO.
Walikutana Saloon wakati napita maeneo ya mbagala kizuiani.. Niliwaskia wakitambiana majina ya waume zao...

Wa 1- Mimi wangu ni SOSPETER nikipenda namuita SOS au PETER..

Wa 2- Mimi wangu EMMANUEL nikipenda EMMA au NOEL..

Wa 3-..mimi wangu GODLUCK nikipenda GOD au LUCK..

Wa 4- akanuna akaondoka zake !

Kumbe bwana wake anaitwa MBWAMBO!

Msaidie kufupisha.
 
Mbaya chache halafu kuna mtu una mdai pesa ndefu wakati we hata ya kula huna....kuna mpumbavu mmoja alinilisha mihogo minne ya kukaanga saa tatu usiku hapo mchana nilikuwa kwa hisani ya watu wa Marekani

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Mkuu nimecheka sana kwa fix mlizokua mnapiga kumbe hamna kitu...."mnapika nini KUKU"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kipindi nipo nakaa hostel kuna siku niliamka sina hata mia mfukoni. sikula mchana nikanywa maji mengi ya kudownload. rafiki zangu wote wa chuoni na mtaani nikawaomba wanikopeshe lakini wote wakasema hawana kitu hata kidogo.

Sikuwa na mazoea ya kuomba hela nyumbani najiona nimekua sitegemei home. basi ikafika saa kumi jioni njaa kali sina hela na hakuna matumaini ya kupata hela ya kula. Nikafikiria nikope TALA najaribu kulog in naambiwa simu imeshatumika na mkopaji mwingine hivo siruhusiwi kukopa.

Nikaazima simu kwa mshikaji akawa hana bando la intaneti. Tukaanza kuzunguka room za jirani kutafuta mtu mwenye bando ili tuunge wifi. tukabahatika kupata bando ila hatukuwa na kitambulisho cha mpiga kura. tukaanza kutafuta kw washkaji ikabidi tuazime kwa mtu. Hapo imefika saa moja kamili zaidi ya masaa mawili tunahangaika kukopa.bila mafanikio.

sijui ilikuaje TALA ikashindikana kabisa tukadownload BRANCH. wakati bado tunaendelea na heka heka hizo simu ya jamaa ikazima na umeme ulikua umekatika.

Nikaunga waifai kwangu nikaingia jF nikafungua thread ya kuomba hela ya kula (sio kwa ID hii). wengi waliniponda ila kuna mtu alinisaidia elfu kumi ndo ikawa ponapona yangu nikaenda dukani kununua maandazi. sitamsahau mtu huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…