Siku gani ulichacha hutaisahau?

hapo kwenye maji ya kudownload umenikumbusha mbali aisee
 
Apa ni sisi ambao tumechacha benk hamna ata hela ya kula hamna hujui utakula nini...,we kumbe atm imesumbua kwa masaa
Hamna mwenye uzi kauliza "Siku gani ulichacha hutaisahau?" na me siku hiyo ndio niliyochacha zaidi. Kukosa chakula ni kawaida!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…