Siku gani ulichacha hutaisahau?

jamaa ana utani na shida huyu.... yani mfukoni una 10k na hadi una option kabisa ya kula au kununua dawa alafu anasema ana shida daaaaaaah



Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui malaria wewe! Usiku ulikuwa mrefu sana. Dozi 10,000 siwezi kunywa hadi nile na ni mara tatu kwa siku. Afadhali ukose hata sumni ila usiwe mgonjwa unaweza kulala na njaa
 
I'd yako ya zamani ni ipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu hili ni tatizo la watu wengi sana kwa hv sasa...hzi shule za kisasa ada zake zinakufanya upate msongo wa mawazo kuna haja ya wazazi wenye changamoto kama hizi wakutane na kujadili namna ya kulikabili hili swala.....shule za serikali nazo siku hizi hamna kitu aisee.
Bora Wewe, Mimi sijalipa ada ya term ya kwanza, yaani sijatoa hata Mia, nahisi akirudi likizo ya pasaka wanamtimua.
 
aise;
 
Sasa mkuu tutajadili nini? Wenyewe wanatuambia Kama huwezi muhamishe mtoto, unashindwa maana shule Ina vigezo vyote ambavyo unavihitaji kwaajili ya mtoto wako. Labda serikali iingilie Kati hizi shule binafsi kitu ambacho naona Ni ngumu kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…