Siku gani ulichacha hutaisahau?

Siku ya kwanza kufanya mapenzi na kukojoa, sitokaa sahau ile raha mpaka nywele zinasimama, aisee hii kituina utamu zaidi ya asali.
 
@ipyax ukawezaje man story tam sana

Voxser empire
 
Haaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]...mashost hao! Daadeki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@ipyax ukawezaje man story tam sana

Voxser empire
Nilitoka home mkuu nikaanza kunzunguka tu mtaani make kelele za mtoto kulia zilikua zinaniumiza moyo.Kufika saa tano hivi nikaenda kwa rafiki yangu mmoja nikakuta mkewe yuko home.Nikamuuliza kama wana jiko la umeme waniazime,Bahati nzuri walikua na jiko dogo hawalitumii basi akanipatia.

Home nimeweka utaratibu wa kununua umeme wa mwaka mzima,units zilikuwepo za kutoshamake ilikua mwanzo wa mwezi.Nikapita kwenye kibustani chetu nikachuma mboga kufika ndani nikapia faster spinach,ugali nikawa nimeokoa siku. Tulitumia jiko la umeme kwa wiki 2 ndipo mambo yaka kaa sawa kuweza kulipa deni la mkaa kwa Jirani na kuweza kumudu kununua mkaa tena.

Baada ya hapo nilirudisha jiko kwa jamaa ,nikanunua la kwangu la umeme kwa ajili ya emergency kama ile ikija tokea tena. Fimbo za maisha sio poa kabisa sometimes.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…