Siku gani ulichacha hutaisahau?

Siku gani ulichacha hutaisahau?

Piga moyo konde usikate tamaa panapokupa riziki pazingatie usipatelekeze maana wengi tukichacha kila kitu kinaachwa kijijue

Kila mtu ana msimu wake......kubwa ni kufanya yako na kupokea uhalisia kuwa huna

Kama mtoa mada alivyoamua kununua chakula badala ya dawa na katika hayo fanya lenye ulazima kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Napambana hivyo hivyo. Asante
 
Ilikuwa tarehe 30 mwezi wa 8. Mwaka 1999. Niliamka asbh sina hata 100. Na wakati huo mke wangu alikuwa amelazwa kwenye zahanati ya mtu binafsi tangu tarehe 28. Usiku akiwa na uchungu wa kujifungua mtoto. Siku hiyo ya tar. 30. Alfajir mama yangu akaja kwangu nikiwa ndo najiandaa kwenda pale dispensary. Mama(R.I.P)akanisalimia Kwa tabasamu na kunipa habari njema kuwa mke wangu kajifungua mtoto Salama mtoto wa kiume mwenye uzito wa kilo 3 na gram 200.

Nilifurahi lkn mfukoni hakuna pesa na pale dispensary inatakiwa pesa ili mke wangu atoke. Nikatoka na baiskeli yangu,nikaenda kwa jamaa mmoja nikakopa elf 9,nikaacha baiskeli yangu bond. Nikaenda hospital,nikalipa deni lilikuwa elf 4,nikalipa cash. Nikaenda barabarani nikachukua taxi nikalipa elf 1. Ikawapeleka nyumbani.

Pesa iliyobaki nikaenda kununua poda,mafuta ya nazi,sabuni na vitu vingine vidogo vidogo. Mfukoni nikabaki na shilingi 400. Nikapeleka hivyo vitu nyumbani kisha nikarudi barabarani. Nikaenda sehemu moja huwa wanachezesha kamari ya ile korokoro ile ya kete 3 nikiwa na rafiki yangu(R.I.P). Tukaanza kucheza kidogokidogo,baadae akaja jamaa naye akawa anacheza pale..yule jamaa akawa anahamisha zile hela zetu ndogo yy anazipiga nyumba moja. Kumbe yule jamaa alikuwa mfanyabiashara wa mkaa. Pale kijijini kwetu alikuwa anasubiri gari ya kwenda porini akanunue mkaa.

Aisee yule mchezeshaji nilikuwa nafahamiana naye sana!(R.I.P) baada ya kugundua yule jamaa ana hela,akabadilishiwa kete,zikawekwa za kutoka upande mmoja tu jembe na karanga. Na jamaa,akanitonya,nikaanza kutakaka..namuwekea karanga na jembe yy anahamisha anaweka king au Nanga. Aisee Kwa nusu saa tu nilikuwa na zaidi ya laki na 30 mkononi..! Nilivyoona,hela zimejaa nikaondoka na yule rafiki yangu. Kwanza nilienda dukani kununua vitu vya mtoto vikali,na pamba za nguvu za mke wangu. Kisha nikaenda kuchukua baiskeli yangu..nikanunua kuku ndo nikarudi nyumbani. Hata mke wangu hakuamini maana alikuwa anajua hali yangu. Huyo mwanangu mwaka huu anatizimiza miaka 21. Hii kumbukumbu sitakuja kuisahau aisee...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa tarehe 30 mwezi wa 8. Mwaka 1999. Niliamka asbh sina hata 100. Na wakati huo mke wangu alikuwa amelazwa kwenye zahanati ya mtu binafsi tangu tarehe 28. Usiku akiwa na uchungu wa kujifungua mtoto. Siku hiyo ya tar. 30. Alfajir mama yangu akaja kwangu nikiwa ndo najiandaa kwenda pale dispensary. Mama(R.I.P)akanisalimia Kwa tabasamu na kunipa habari njema kuwa mke wangu kajifungua mtoto Salama mtoto wa kiume mwenye uzito wa kilo 3 na gram 200.

Nilifurahi lkn mfukoni hakuna pesa na pale dispensary inatakiwa pesa ili mke wangu atoke. Nikatoka na baiskeli yangu,nikaenda kwa jamaa mmoja nikakopa elf 9,nikaacha baiskeli yangu bond. Nikaenda hospital,nikalipa deni lilikuwa elf 4,nikalipa cash. Nikaenda barabarani nikachukua taxi nikalipa elf 1. Ikawapeleka nyumbani.

Pesa iliyobaki nikaenda kununua poda,mafuta ya nazi,sabuni na vitu vingine vidogo vidogo. Mfukoni nikabaki na shilingi 400. Nikapeleka hivyo vitu nyumbani kisha nikarudi barabarani. Nikaenda sehemu moja huwa wanachezesha kamari ya ile korokoro ile ya kete 3 nikiwa na rafiki yangu(R.I.P). Tukaanza kucheza kidogokidogo,baadae akaja jamaa naye akawa anacheza pale..yule jamaa akawa anahamisha zile hela zetu ndogo yy anazipiga nyumba moja. Kumbe yule jamaa alikuwa mfanyabiashara wa mkaa. Pale kijijini kwetu alikuwa anasubiri gari ya kwenda porini akanunue mkaa.

Aisee yule mchezeshaji nilikuwa nafahamiana naye sana!(R.I.P) baada ya kugundua yule jamaa ana hela,akabadilishiwa kete,zikawekwa za kutoka upande mmoja tu jembe na karanga. Na jamaa,akanitonya,nikaanza kutakaka..namuwekea karanga na jembe yy anahamisha anaweka king au Nanga. Aisee Kwa nusu saa tu nilikuwa na zaidi ya laki na 30 mkononi..! Nilivyoona,hela zimejaa nikaondoka na yule rafiki yangu. Kwanza nilienda dukani kununua vitu vya mtoto vikali,na pamba za nguvu za mke wangu. Kisha nikaenda kuchukua baiskeli yangu..nikanunua kuku ndo nikarudi nyumbani. Hata mke wangu hakuamini maana alikuwa anajua hali yangu. Huyo mwanangu mwaka huu anatizimiza miaka 21. Hii kumbukumbu sitakuja kuisahau aisee...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikia zali la mentali ndo hilo
 
Ilikuwa tarehe 30 mwezi wa 8. Mwaka 1999. Niliamka asbh sina hata 100. Na wakati huo mke wangu alikuwa amelazwa kwenye zahanati ya mtu binafsi tangu tarehe 28. Usiku akiwa na uchungu wa kujifungua mtoto. Siku hiyo ya tar. 30. Alfajir mama yangu akaja kwangu nikiwa ndo najiandaa kwenda pale dispensary. Mama(R.I.P)akanisalimia Kwa tabasamu na kunipa habari njema kuwa mke wangu kajifungua mtoto Salama mtoto wa kiume mwenye uzito wa kilo 3 na gram 200.

Nilifurahi lkn mfukoni hakuna pesa na pale dispensary inatakiwa pesa ili mke wangu atoke. Nikatoka na baiskeli yangu,nikaenda kwa jamaa mmoja nikakopa elf 9,nikaacha baiskeli yangu bond. Nikaenda hospital,nikalipa deni lilikuwa elf 4,nikalipa cash. Nikaenda barabarani nikachukua taxi nikalipa elf 1. Ikawapeleka nyumbani.

Pesa iliyobaki nikaenda kununua poda,mafuta ya nazi,sabuni na vitu vingine vidogo vidogo. Mfukoni nikabaki na shilingi 400. Nikapeleka hivyo vitu nyumbani kisha nikarudi barabarani. Nikaenda sehemu moja huwa wanachezesha kamari ya ile korokoro ile ya kete 3 nikiwa na rafiki yangu(R.I.P). Tukaanza kucheza kidogokidogo,baadae akaja jamaa naye akawa anacheza pale..yule jamaa akawa anahamisha zile hela zetu ndogo yy anazipiga nyumba moja. Kumbe yule jamaa alikuwa mfanyabiashara wa mkaa. Pale kijijini kwetu alikuwa anasubiri gari ya kwenda porini akanunue mkaa.

Aisee yule mchezeshaji nilikuwa nafahamiana naye sana!(R.I.P) baada ya kugundua yule jamaa ana hela,akabadilishiwa kete,zikawekwa za kutoka upande mmoja tu jembe na karanga. Na jamaa,akanitonya,nikaanza kutakaka..namuwekea karanga na jembe yy anahamisha anaweka king au Nanga. Aisee Kwa nusu saa tu nilikuwa na zaidi ya laki na 30 mkononi..! Nilivyoona,hela zimejaa nikaondoka na yule rafiki yangu. Kwanza nilienda dukani kununua vitu vya mtoto vikali,na pamba za nguvu za mke wangu. Kisha nikaenda kuchukua baiskeli yangu..nikanunua kuku ndo nikarudi nyumbani. Hata mke wangu hakuamini maana alikuwa anajua hali yangu. Huyo mwanangu mwaka huu anatizimiza miaka 21. Hii kumbukumbu sitakuja kuisahau aisee...

Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati ilikuja kwa namna ya ajabu.
Pole kwa misiba ya watu wako muhimu walioshirikiana na wewe katika hilo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa tarehe 30 mwezi wa 8. Mwaka 1999. Niliamka asbh sina hata 100. Na wakati huo mke wangu alikuwa amelazwa kwenye zahanati ya mtu binafsi tangu tarehe 28. Usiku akiwa na uchungu wa kujifungua mtoto. Siku hiyo ya tar. 30. Alfajir mama yangu akaja kwangu nikiwa ndo najiandaa kwenda pale dispensary. Mama(R.I.P)akanisalimia Kwa tabasamu na kunipa habari njema kuwa mke wangu kajifungua mtoto Salama mtoto wa kiume mwenye uzito wa kilo 3 na gram 200.

Nilifurahi lkn mfukoni hakuna pesa na pale dispensary inatakiwa pesa ili mke wangu atoke. Nikatoka na baiskeli yangu,nikaenda kwa jamaa mmoja nikakopa elf 9,nikaacha baiskeli yangu bond. Nikaenda hospital,nikalipa deni lilikuwa elf 4,nikalipa cash. Nikaenda barabarani nikachukua taxi nikalipa elf 1. Ikawapeleka nyumbani.

Pesa iliyobaki nikaenda kununua poda,mafuta ya nazi,sabuni na vitu vingine vidogo vidogo. Mfukoni nikabaki na shilingi 400. Nikapeleka hivyo vitu nyumbani kisha nikarudi barabarani. Nikaenda sehemu moja huwa wanachezesha kamari ya ile korokoro ile ya kete 3 nikiwa na rafiki yangu(R.I.P). Tukaanza kucheza kidogokidogo,baadae akaja jamaa naye akawa anacheza pale..yule jamaa akawa anahamisha zile hela zetu ndogo yy anazipiga nyumba moja. Kumbe yule jamaa alikuwa mfanyabiashara wa mkaa. Pale kijijini kwetu alikuwa anasubiri gari ya kwenda porini akanunue mkaa.

Aisee yule mchezeshaji nilikuwa nafahamiana naye sana!(R.I.P) baada ya kugundua yule jamaa ana hela,akabadilishiwa kete,zikawekwa za kutoka upande mmoja tu jembe na karanga. Na jamaa,akanitonya,nikaanza kutakaka..namuwekea karanga na jembe yy anahamisha anaweka king au Nanga. Aisee Kwa nusu saa tu nilikuwa na zaidi ya laki na 30 mkononi..! Nilivyoona,hela zimejaa nikaondoka na yule rafiki yangu. Kwanza nilienda dukani kununua vitu vya mtoto vikali,na pamba za nguvu za mke wangu. Kisha nikaenda kuchukua baiskeli yangu..nikanunua kuku ndo nikarudi nyumbani. Hata mke wangu hakuamini maana alikuwa anajua hali yangu. Huyo mwanangu mwaka huu anatizimiza miaka 21. Hii kumbukumbu sitakuja kuisahau aisee...

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hii kiboko
 
Mwaka jana kuna siku nimeamka asubuhi sina kitu ,wife anaumwa ,mtoto anatakiwa kula ,ndani kuna unga,maharage Ila sina hela ya mkaa. Jirani muuza mkaa ananidai buku 7 ma siwezi kwenda kukopa tena. Nilidata kabisa,sina vocha kwenye sim na hata ningekua nayo bado sikua na mtu ambaye angeniazima hata buku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom