Siku gani ulichacha hutaisahau?

Siku gani ulichacha hutaisahau?

Piga moyo konde usikate tamaa panapokupa riziki pazingatie usipatelekeze maana wengi tukichacha kila kitu kinaachwa kijijue

Kila mtu ana msimu wake......kubwa ni kufanya yako na kupokea uhalisia kuwa huna

Kama mtoa mada alivyoamua kununua chakula badala ya dawa na katika hayo fanya lenye ulazima kwanza
Afadhali ingekuwa Mara moja moja jamani, mie tangu mwaka uanze nimechacha, na nikitegemea kupata hela flani kabla haijanifikia imeshaisha na bado hujatatua vimatatizo vidogo vidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom