Siku gani ulichacha hutaisahau?

Siku gani ulichacha hutaisahau?

Pole sana....! I feel you, lkn mkuu ukiona unasuasua au unajibana sana kulipa ada ktk hizo shule, basi jua kuwa uwezo wako ni mdogo, usijilazimishe (huu ni ukweli mchungu), hata mimi binafsi suala la ada kwa mtoto huwaga changamoto, ila nimepanga na mwenzangu kukaa na kureview upya......ni kweli tunapenda watoto wetu wasome shule bora kbs, lkn ukweli ni kwamba uwezo wetu kutokana na majukumu ni mdogo, ada zimekuwa too much nowdays. Na hili nakuhakilishia siyo wewe tu, wapo wengi mnoooo, ambao wanashindwa na ada za hizi shule....ni vile tu hujapata wasaa wa kuona list ya wanaodaiwa wenzako.

Zamani Kulikuwa na option ya kuwapeleka watoto shule za serikali za English medium kama Olympio, diamond etc. Kwa hapa Dar, lkn hv sasa hizo shule hazina tofauti na za kayumba za kawaida, na kwa hali ilivyo hivi sasa mtoto kusoma shule ya English medium siy tu fashion, Bali ni lazima sana, sababu huko mbele mfumo wa ajira na elimu utabadilika sana, so ukimpeleka mwanao shule za kayumba tulizosoma sisi, utakuwa umemnyima fursa nyingi sana kwa kizazi chao huko mbele.

Mwisho lengo la kukuambia ukae na wazazi wenye same problem, ilikuwa uweze kupata faraja au hata utatuzi wa shida yako. As you know penye wengi pana mengi, unaposkia mtu mwengine ana tatizo kama lako, unapata psychological relief, na inakusaidia kuona ur not alone.
Uliyosema ni sahihi..uwezo ni mdogo, ila kwa kweli nitapambana amalize, yupo form 3 now kumuhamisha ni kumsumbua kisaikolojia.
 
Saiv ndio nimechacha yaan nimebakiwa na elfu tano tu na kazi nimefukuzwa nawaza ikiisha hii buku 5 nitaishije?.. God help me😪😪
 
2014 disemba kuelekea kwenye masikukuu office zimefungwa nimetumia hela zangu zote kusupply kwa wateja wangu ili nikilipwa nipige mshindo wakufungia mwaka nikaambiwa malipo january walipaji wamerud makwao kwa krismas kaz ndio ilianzia hapo nipo getto sina hata ten na mchumba yuko chuo kisha onyesha dalili zote za kukengeuka na kuacha manyoya getto no king'amuz no gas kwenye friji kuna dumu la maji la lita tano na sukari tu nikasema ngoja tuone sipigi mzinga wala sikopi mpaka nione mwisho wake nikapiga desh usiku, siku hio kamchumba kamenilia buyu siku nzima saa nne siku ikaingia sms nyc nyts asubuh nikaamka saa tano njaa moja matata nikasema apa hakuna mzinga wala kukopa mpaka januari nikaoga zangu nikalamba sukari nikalala tena nikaamka saa kumi na moja na njaa ya sudani kusini apo nilipokua nmepanga nje kuna miembe miwili nikatoka nje nikapita na maembe mawili mabich machachu balaa nikayagonga kibishi meno yakafa ganz nikalamba sukar nikanywa maji usiku wa pili ukaingia kabla ya kulala ikaingia sms nyc nyts sikuijibu maana hata salio sikua nalo usingiz ukipita kushtuka saa nne asubuhi nikawah maembe kabla mama mwenye nyumba hajatoka kanisani anapenda kukaa chini mwembe wake nilivyomaliza tu kumeza yale maembe machachu simu ikaanza kuita kuchek number ngeni kupokea saut naijua ni mteja wangu wazamani sana akaniambia tukutane kibo complex tegeta at that time niko basihaya boko ndio magetoni nikamwambia niko nakaz naimaliza after two hours ndio nitatoka home maana kwa gar ni mwendo wa 15mnts ila kwa mguu mwendo wa kijesh masaa mawili au limoja na nusu unafika so mmi nilijipa masaa mawili nusu ya kutembea sababu ya baa la njaa lililokua linaniandama nikafika kibo jamaa alikua 71 counter anakula biere akamuamuru muhudumu anisikilize nikasingizia malaria jamaa akaamin kutokana na ile njaa hadi misuli ya kichwa ilikua imedinda tukapiga story na jamaa kuhusu project yako akatoa advance laki tisa cash tulivyoagana nikapita bar ya jiran nikaagiza bonge la ugari na mbuzi choma alafu nikarudi home na bajaji hio experince niluopitia kipind hicho ilinifanya niamin kwel njaa inaua pili ukitumia resource yoyote iliopo mbele yako njaa haikuui pia since that time nikipata tatizo lolote lakiuchumi au kijamii nali face mwenyewe tu kimyakimya
 
2014 disemba kuelekea kwenye masikukuu office zimefungwa nimetumia hela zangu zote kusupply kwa wateja wangu ili nikilipwa nipige mshindo wakufungia mwaka nikaambiwa malipo january walipaji wamerud makwao kwa krismas kaz ndio ilianzia hapo nipo getto sina hata ten na mchumba yuko chuo kisha onyesha dalili zote za kukengeuka na kuacha manyoya getto no king'amuz no gas kwenye friji kuna dumu la maji la lita tano na sukari tu nikasema ngoja tuone sipigi mzinga wala sikopi mpaka nione mwisho wake nikapiga desh usiku, siku hio kamchumba kamenilia buyu siku nzima saa nne siku ikaingia sms nyc nyts asubuh nikaamka saa tano njaa moja matata nikasema apa hakuna mzinga wala kukopa mpaka januari nikaoga zangu nikalamba sukari nikalala tena nikaamka saa kumi na moja na njaa ya sudani kusini apo nilipokua nmepanga nje kuna miembe miwili nikatoka nje nikapita na maembe mawili mabich machachu balaa nikayagonga kibishi meno yakafa ganz nikalamba sukar nikanywa maji usiku wa pili ukaingia kabla ya kulala ikaingia sms nyc nyts sikuijibu maana hata salio sikua nalo usingiz ukipita kushtuka saa nne asubuhi nikawah maembe kabla mama mwenye nyumba hajatoka kanisani anapenda kukaa chini mwembe wake nilivyomaliza tu kumeza yale maembe machachu simu ikaanza kuita kuchek number ngeni kupokea saut naijua ni mteja wangu wazamani sana akaniambia tukutane kibo complex tegeta at that time niko basihaya boko ndio magetoni nikamwambia niko nakaz naimaliza after two hours ndio nitatoka home maana kwa gar ni mwendo wa 15mnts ila kwa mguu mwendo wa kijesh masaa mawili au limoja na nusu unafika so mmi nilijipa masaa mawili nusu ya kutembea sababu ya baa la njaa lililokua linaniandama nikafika kibo jamaa alikua 71 counter anakula biere akamuamuru muhudumu anisikilize nikasingizia malaria jamaa akaamin kutokana na ile njaa hadi misuli ya kichwa ilikua imedinda tukapiga story na jamaa kuhusu project yako akatoa advance laki tisa cash tulivyoagana nikapita bar ya jiran nikaagiza bonge la ugari na mbuzi choma alafu nikarudi home na bajaji hio experince niluopitia kipind hicho ilinifanya niamin kwel njaa inaua pili ukitumia resource yoyote iliopo mbele yako njaa haikuui pia since that time nikipata tatizo lolote lakiuchumi au kijamii nali face mwenyewe tu kimyakimya
Sometimes unakomaa hamna kuomba hadi uone mwisho wake
 
Back
Top Bottom