Siku hii ndio nilishuhudia, niliamini na kuthibitisha kwamba mapenzi hayana wala hayajali umri

"Huenda alikua ananimendea au tunamendeana kisirisiri siri moyoni " mdomo zege babu kukupiga gepu unakuja kumkandia hapa.
kwahivyo unataka kusema kwasabb ya uheshimiwa tunasita kuchomoka na pisi kali vibabu vinachomoka nao dah πŸ’

siku moja humu jukwaani walimdukua kiongozi moja ati anacheki video sijui za pilau....sasa nikajiuliza kwani yeye si binadamu au hapendi kuinjoy πŸ’
 
Hugombei mwakani
nimeskiza ushauri, sauti na maombi ya wanainchi vizuri sana, na kwa Neema na Baraka za Mungu akiendelea kunifadhili zawaidi hii ya uhai na afya njema, nitatekeleza maagizo ya wanainchi ipasavyo kama wanavyoniomba πŸ’

maana sauti ya wengi ni sauti ya Mungu niko tayari kuifuata πŸ’
 
Mkuu mtoa mada,

Kuwa makini sana na nyakua nyakua ephen_ . Asikusogelee.

Yeye ni muwinda mume mwenye cheo.

Shauri yako.
sio vizuri kuwanenea mbovu hawa wasaidizi wa ma comrade. ni muhimu wakaheshimiwa na kutiwa moja zaidi kwa kazi kubwa wanazofanya kuwasaidia wale wapambanaji ambao wako mstari wa mbele wa mapambano πŸ’
 



Mkuu Kama unagombea naomba unicheki nina wazo kwa ajili ya mbunge

Uwe chama kinachokubalika mjini au kijijini keep in touch tuwasiliane mwakani mapema

Nataka tufanye mkakati wa kuchukua jimbo Ahsubui
 
Na hizi ndio NDOA ZENU.

#YNWQ
 
pale aliefanya utoto ni yule babu au kale kabinti karembo πŸ’
Kama Binti kaolewa anakuaje mtoto.... Huyo ni mkubwa na atafanya maamuzi ya kikubwa na mambo yakikubwa pia. Wewe kinachokuuma hapo kitu gani, kwamba wewe ni mkamilifu sana Hapa Duniani.... Mwanaume kutumia imoji ya nyani kwenye maandiko yake unajua maana yake?? Ndio maana narudia, acha utoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…