Ndoto yangu ni kua first lady! Nataka niitwe muheshimiwa Ephenπ€ΈUnapendan sana kumendea wanasiasa. Lukasi anakaribia kunasa udisii, umejiegesha kwake.
Huyu anagombea ubunge mwakani, unajilegeza ujiweke uwe mama Mbunge.
Na sarakasi zako za kubinua. π€£
kwahivyo unataka kusema kwasabb ya uheshimiwa tunasita kuchomoka na pisi kali vibabu vinachomoka nao dah π"Huenda alikua ananimendea au tunamendeana kisirisiri siri moyoni " mdomo zege babu kukupiga gepu unakuja kumkandia hapa.
Utasubiri sanaNdoto yangu ni kua first lady! Nataka niitwe muheshimiwa Ephenπ€Έ
Hapo ndipo unapofeli.Ndoto yangu ni kua first lady! Nataka niitwe muheshimiwa Ephenπ€Έ
I'm sure that one is going to happen soon as possible Lucas MwashambwaNdoto yangu ni kua first lady! Nataka niitwe muheshimiwa Ephenπ€Έ
Mungu sio Abdallah, nitakuita ikulu nikiwa na Lucas wangu uje tupate chakula cha usikuUtasubiri sana
Namtaka Lucas! Soon tunalamba teuziiπ€ΈHapo ndipo unapofeli.
Si ungesema nikuungishe kwa Mtoto halali na hela. Ni Waziri tayari.
Tatizo umeshaolewa, mimi ningeshakuchukua. Sarakasi zako pia sitaki.
Cha usiku kipiMungu sio Abdallah, nitakuita ikulu nikiwa na Lucas wangu uje tupate chakula cha usiku
Sikupi binti yangu! Kumbe una mdomo hiviiCha usiku kipi
hawezi kuendelea ila sasa sikuelewa nani alikua anamburuza mwenzie, au kabinti mkwanja wake wa kulipia guest house aliamua kuusave kwaajili ya malengo yake mengine bila kuchoshwa na dingiii wa watu πNawe ukizeeka yatakukuta, sasa mzee wa watu kaweka tu huyooo, unadhani ataendelea
Hugombei mwakanihawezi kuendelea ila sasa sikuelewa nani alikua anamburuza mwenzie, au kabinti mkwanja wake wa kulipia guest house aliamua kuusave kwaajili ya malengo yake mengine bila kuchoshwa na dingiii wa watu π
nimeskiza ushauri, sauti na maombi ya wanainchi vizuri sana, na kwa Neema na Baraka za Mungu akiendelea kunifadhili zawaidi hii ya uhai na afya njema, nitatekeleza maagizo ya wanainchi ipasavyo kama wanavyoniomba πHugombei mwakani
sio vizuri kuwanenea mbovu hawa wasaidizi wa ma comrade. ni muhimu wakaheshimiwa na kutiwa moja zaidi kwa kazi kubwa wanazofanya kuwasaidia wale wapambanaji ambao wako mstari wa mbele wa mapambano πMkuu mtoa mada,
Kuwa makini sana na nyakua nyakua ephen_ . Asikusogelee.
Yeye ni muwinda mume mwenye cheo.
Shauri yako.
Chukua namba kabisa kuna muda pm ataifufunga mheshimiwa, unipasie na mimiMkuu una furaha sana siku hizi mbili
Unashusha tu posts! Jimboni wamekupa uhakika nini..!?π€Έ
katika harakati zangu za kisiasa, kura za maoni kivyama huko Jimboni, mara hiyo tupo mjini na, ni wakati wa kulala huko guest house.
Sasa miongoni mwa wakuu wa msafara alikuepo mtu mzima, lakini ni Mzee sana tena ni wale wa aina ile ambao akivaa koti hawezi kulivua hata kuwe na joto kiasi gani. Lakini pia hauwezi kumuharakisha kwa chochote. kwasabb ya uzee daima alikua slow, kutafakari, kusema na kutenda.
Lakini pia kulikua na mdada mbichi tu, niliarifiwa alikua ni mke wa mwalimu ambae alikua amestaafu huko kijijini, na sasa huyo binti ni muandamizi ndani ya chama, nae alikua miongoni mwa wakuu wa msafara, pamoja nasi wagombeaji.π
sasa kule guest house si nikajua kila mtu ana lala kwenye chumba chake, kumbe bwana, yule babu na yule binti wanalala chumba kimoja na ni wapenzi tangu tumeanza safari za mzunguko wa kampeni.
na cha kushangaza zaid, kwa baridi la huku jimboni yule, babu badala ya kwenda kusuuza mshedede wake na kuoga bafuni, Babu alijifunika shuka kama mwamvuli vile nje ya bafu la guest house, jalalani, ndio anaosha mshedede kwa kunyunyiza maji kwa kikombe, dah!
kwa uzee ule,
hangeweza kuoga kwa baridi lile. Kuna ile sinario kwamba mko kwenye safari halafu mkapata tatizo, kuna watu wanasemaga, huenda kuna watu wametoka kugegedana na hawajaoga humu π
nadhani pia kwa yule babu, ile ilikua sababu ya wagombea takribani watatu kutaka kupigana na kutishiana maisha kwenye miongoni mwa mikutano kule kwenye kampeni, na hata yule babu alimanusura apigwe makofi na mkutano ukaisha kwa vurugu. But that is the story for other day...
But actually,
yule babu,
ati ndio alikua analala na yule binti mbichi kabisa mke wa mwalimu mstaafu chumba kimoja aise....
na wakati ule ndio nikaona na nikathibitisha kwamba kweli mapenzi hayana wala hayajali umri.
hata hivyo binti yule alikua na soni sana baada ya kumgundua analalala na Babu. Huenda alikua ananimendea au tunamendeana kisiri siri moyoni π
Na hizi ndio NDOA ZENU.katika harakati zangu za kisiasa, kura za maoni kivyama huko Jimboni, mara hiyo tupo mjini na, ni wakati wa kulala huko guest house.
Sasa miongoni mwa wakuu wa msafara alikuepo mtu mzima, lakini ni Mzee sana tena ni wale wa aina ile ambao akivaa koti hawezi kulivua hata kuwe na joto kiasi gani. Lakini pia hauwezi kumuharakisha kwa chochote. kwasabb ya uzee daima alikua slow, kutafakari, kusema na kutenda.
Lakini pia kulikua na mdada mbichi tu, niliarifiwa alikua ni mke wa mwalimu ambae alikua amestaafu huko kijijini, na sasa huyo binti ni muandamizi ndani ya chama, nae alikua miongoni mwa wakuu wa msafara, pamoja nasi wagombeaji.π
sasa kule guest house si nikajua kila mtu ana lala kwenye chumba chake, kumbe bwana, yule babu na yule binti wanalala chumba kimoja na ni wapenzi tangu tumeanza safari za mzunguko wa kampeni.
na cha kushangaza zaid, kwa baridi la huku jimboni yule, babu badala ya kwenda kusuuza mshedede wake na kuoga bafuni, Babu alijifunika shuka kama mwamvuli vile nje ya bafu la guest house, jalalani, ndio anaosha mshedede kwa kunyunyiza maji kwa kikombe, dah!
kwa uzee ule,
hangeweza kuoga kwa baridi lile. Kuna ile sinario kwamba mko kwenye safari halafu mkapata tatizo, kuna watu wanasemaga, huenda kuna watu wametoka kugegedana na hawajaoga humu π
nadhani pia kwa yule babu, ile ilikua sababu ya wagombea takribani watatu kutaka kupigana na kutishiana maisha kwenye miongoni mwa mikutano kule kwenye kampeni, na hata yule babu alimanusura apigwe makofi na mkutano ukaisha kwa vurugu. But that is the story for other day...
But actually,
yule babu,
ati ndio alikua analala na yule binti mbichi kabisa mke wa mwalimu mstaafu chumba kimoja aise....
na wakati ule ndio nikaona na nikathibitisha kwamba kweli mapenzi hayana wala hayajali umri.
hata hivyo binti yule alikua na soni sana baada ya kumgundua analalala na Babu. Huenda alikua ananimendea au tunamendeana kisiri siri moyoni π
Kama Binti kaolewa anakuaje mtoto.... Huyo ni mkubwa na atafanya maamuzi ya kikubwa na mambo yakikubwa pia. Wewe kinachokuuma hapo kitu gani, kwamba wewe ni mkamilifu sana Hapa Duniani.... Mwanaume kutumia imoji ya nyani kwenye maandiko yake unajua maana yake?? Ndio maana narudia, acha utotopale aliefanya utoto ni yule babu au kale kabinti karembo π