Siku hii ndio nilishuhudia, niliamini na kuthibitisha kwamba mapenzi hayana wala hayajali umri

Umechelewa sana kujua. Wewe ni mgombea qka mbunge mtarajiwa?






Kuna vitu havitokei kwa bahati mbaya.
 
Umechelewa sana kujua. Wewe ni mgombea qka mbunge mtarajiwa?






Kuna vitu havitokei kwa bahati mbaya.
ile ya muhimu na ya maana zaidi nimeelewa na kuthibitisha, japo naamini wapo wengi hawjaona na hawawezi kuamini...

zaidi sana mimi na wananchi hapa jimboni ni dam dam, tulianzia chini mno na kwa tabu sana na kwasasa tulipo ni matunda ya kumtanguliza Mungu mbele, bidii na moyo wa kutokukata tamaa πŸ’
 
mkuu ko unashauri nn kifanyike
ukijiona wewe ni superstar sana kwenye mambo ya kijamii hususan mapenzi, wazee wenye uthubutu hata kama inaonekana wamechoka na hawana nguvu za kutosha, wanapita nao vizuri tu na pisi kali za maana wakikuacha unashangaa na kung'aa macho πŸ’
 
Hamna mapenzi hapo mwanangu,hapo ni maokoto yalizingatiwa
 
Mmmmh hicho chama ni chama Gani mkuu?CHAuma?Maana ulivyoelezea hali ya Babu na gest chafu napata picha sio ccm maana Hawa Jamaa wanalalaga hotel za nyota Tano,any way acha wivu Babu ashakula utelezi wa ticha,kama vip kula na ww si wanasema haina makombo?
 
chama cha siasa humu nchini mkuu..

ila sio CHAUMA πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…