Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Nipatie hilo andiko Kutoka kwenye hiyo referenceYametabiriwa watapenda ngono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipatie hilo andiko Kutoka kwenye hiyo referenceYametabiriwa watapenda ngono
hakuna jipya hata ukicheleweshewa mkuu. Akijaa ishi mambo mengine yaendelee.Ila mkuu kupeana namba leo na kula leo ina ukakasi sana!!
Hakika si hawataki kinga.Uchumi wa Nchi lazima uimarike
Shemeji marahaba!Kuna watu mnapenda ugumu, umemtongoza mtu au umeonesha nia ya kutaka tunda iwe mapema au kwa kuchelewa akikubali kuna shida gani? Sasa ulimtongoza yanini?
Kuna haja gani ya kuchelewesha mauzo ya azuma.
Shemeji shikamoo, niliibiwa simu shem sio mimi 😂Shemeji marahaba!
😂
Akiiiii nimecheka!Shemeji shikamoo, niliibiwa simu shem sio mimi 😂
Usiende kunisemea shemAkiiiii nimecheka!
Siwezi msagia kunguni shemeji amenisadia!Usiende kunisemea shem
Afu 2 Ina nguvu sana Zama hizi narudia Afu 2 sio afu 3 ni afu 2Zama zimebadilika.
shem lake 😍Siwezi msagia kunguni shemeji amenisadia!
😂😂😂 umeshindikana!shem lake 😍
Mtu wa maana kabisa, sana, mno, vilivyo.
Anaeniwezea ni mmoja tu na unamjua 😂😂😂😂 umeshindikana!
Ndiyo maana UTI ,FANGASI NA PID zinazunguka kwa speed sana hadi huku kwenye ndoaMoja kwa moja kwenye mada.
Sijui wamekuaje hawa wadada wa siku hizi, neno hapana halimo kabisa kwenye kamusi zao! Mtu unakutana nae tu ukimsemesha vizuri anakupa utamu. Zamani unafukuzia demu mpaka unamchukia unampotezea mwenyewe ila sikuhizi ukimwangalia tu mdada ukizubaa anaweza hata akakutongoza mwenyewe!
Tatizo liko wapi? Wapo wengi sana? Ugumu wa maisha? Ny*ge zinawasumbua? Pepo la ngono limewavaa (maana hata huko kwa manabii wanawake ndio wanaojazana). Kwakweli ni shida!
Kwasasa narindima live kutokea hapa Mwamapuli.
Ndio, si unaitumia kama prophylaxis, hahaHivi itasaidia?
Wewe kibuyu, shauri yako, hahaAkubali mapema au akucheleweshe lakini kutoa ni kule kule, mi naonaga ni kupotezeana muda labda km unatafuta sababu ya kumkataa.!!
Sawa sawa kabisaKuna watu mnapenda ugumu, umemtongoza mtu au umeonesha nia ya kutaka tunda iwe mapema au kwa kuchelewa akikubali kuna shida gani? Sasa ulimtongoza yanini?
Kuna haja gani ya kuchelewesha mauzo ya azuma
Google tabia za watu wa siku za mwisho utapata maandiko teleNipatie hilo andiko Kutoka kwenye hiyo reference