Siku hizi kila mtu anataka kuwa developer, yaani any form of developer! kwanini unajisumbua?

Siku hizi kila mtu anataka kuwa developer, yaani any form of developer! kwanini unajisumbua?

hata huyo mark zugberg hakuwa peke yake ingawa alisoma programming, kasome historia ya facebook vizuri , you will never walk alone. Eduardo Saverin, Andrew McCollum, Dustin Moskovitz, na Chris Hughes hawa ndiyo watu ambao Mark Zugberg alikuwa nao chumbani miaka 16 iliyopita. Wewe my ndugu unayetaka kufanikiwa peke yako sawa, soma kwa bidii ila utachelewa sana, YOU CAN'T BE THE COMPLETE PLAYER NEVER KAMA HAKUNA WAKUKUSAIDIA UWE HIVYO
Hata hujaelewa flow ya mazungumzo yetu umeishia kudandia treni kwa mbele. Yani kama ni swali la pepa hapa ungekua OP!
 
mathsjery ana hulka ya ubinafsi. Nimefatilia nyuzi zake humu yaani nimeshangaa sana.
Developer gani unakua selfish kiasi hiki?
Na developers hawatakiwi kuwa wachoyo. ndio maana kuna github na nyenginezo mtu anaweka codes zake ukitaka unacopy na kupaste, yaani mwendo wa kushare tu. OS kama za linux ni open source, kila mtu anaweka lake na codes zipo open.

Ah mimi nashauri mwenye muda wake na asome tu Udemy/Youtube.
 
Hata hujaelewa flow ya mazungumzo yetu umeishia kudandia treni kwa mbele. Yani kama ni swali la pepa hapa ungekua OP!
KWA SABABU NDIVYO ULIVYOELEWA PIA...UKIAMINI UNAWEZA UKO SAHIHI, NA UKIAMINI KUWA HAUWEZI UPO SAHIHI PIA, AS A MAN THINKETH IN HIS HEART SO IS HE

...............KARIBU KWENYE HIZO PAPER ZAKO NA HII 2021....................
 
Tz developer wengi janja janja tu baadhi wako vizuri sana alafu mpunguze utapeli haswa android developer. Mimi kazi nawapa wapakistan au wanhindi huko fiverr
 
Back
Top Bottom