Siku hizi kubambikiwa ujauzito imekuwa kawaida

Siku hizi kubambikiwa ujauzito imekuwa kawaida

BradFord93

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2017
Posts
917
Reaction score
2,217
Mshikaji alikuwa na mwanamke kwa muda kama mwaka hivi. Mwanamke anaenda analala na kusepa asubuh kwa mama yake

Yule dada wengi walikuwa wanajua tabia zake za kurukaruka. Wengi walikuwa wanasema kuwa huko mtaani kwao watu kibao walikuwa wanajilia kama utani (kuna washikaji zangu wana camp flan karibia wote wamepita). Hapo mwamba hajui maana sio mtembeaji kiviile mda wote yupo ofisini kwake

Baadhi ya watu wakaniambia nimfikishie taarifa (ila sikuweza kumwambia maana jamaa anamkubali balaa)

Kuna ambao walimfikishia ila jamaa hakuelewa. Sasa dada kapata ujauzito na anadai mwamba ndiye mhusika (hapo na jamaa ameshaanza kuamka kuwa anachezewa mchezo)

Kaja kuomba ushauri nikamchana yote! Nikamuambia kuwa asithubutu kukubali maana kwanza mwanamke amshamdhalilisha vibaya mno huko mtaani kwa kutembea na watu

Sasa juzi kati mamake na bibi mtu walimfuata jamaa flani(ni mumewa mtu) wakidai hela ya huduma kwa mjamzito na hapo ujue mjamzito akiulizwa anasema mimba ya mshkaji.

Kwa mimi nilimuambia kuwa hapo anaibiwa kiingilio laivu kwakuwa yule manzi katembea na wengi so hajui mimba ni ya nani (so nkamshauri afanye mambo yake...itajulikana mbelen)

Washkaji kuweni makini, kubambikiwa mimba siku hizi imekuwa ni kawaida saaaaaana.

1623744392188.png

 
hili halijaanza leo kuna miaka nilikuwa na differ na mshua na wakati mwingine hatuelewani ikafika wakati nikasema lazima niwe mpole inawezekana huyu akawa sio baba yangu ila ananisaidia tu hivyo dawa ni kupiga shule ndo mtaji wangu hapa.

Nilijengeka hivyo mpaka pale MUNGU alipomtafuta mtu bila kujua mwenye historia ya kuzaliwa kwangu na uhusiano wa utoto na baba yangu ndipo mapenzi yakarudi kwa baba.

Hivyo kawaida sana.
 
Kitanda hakizai haramu.... Nawakubali SANA wazee wa zaman na hii misemo yetu
 
Tatizo Kuoa hamtaki mnataka t.o.m.b.a t.o.m.b.a tuu... Kitanda akizai haramu msemo wa wahenga
 
Wewe unajuaje kama huyo unayemuita baba ni "biological father" kwako?

Ubaba ni malezi ndio maana wazungu wana-adopt watoto ambao sio damu yao na kuwaachia urithi wa pesa nyingi sana.
 
kwa dunia ya sasa unadet na mwanamke kiwanted mithili ya jasusi yani unakuwa kama hupo haupo kiufupi usieleweke zibaki tetesi na viskendo

yale mambo eti unamleta demu hadi geto lako hadi majirani wanakuona unavyompikisha mtoto wa wawatu,analala anamkia kwako halafu itokee mimba useme siyo yako unadhani kuna mtu atakuelewa hata kama siyo yako

Siku hizi mtoto wa kike akifanya upumbavu badala ya kumuonya wanatafuta kijana wakiume wa kufix huo upumbafu huku wakimsanifu na visifa eti huo ndio uwanaume mara sijui tangu kale yalikuwepo wewe vumilia sio wa kwanza
haya sasa jifanye umekaidi mara utasikia haujakua,una akili za kitoto,hapo wata anza kusema mlee mtoto anaweza kuja kua kama diamond😂😂

Mtoa mada nikushauri kama kijana mwenzangu usijeruhusu videmu vya karibu vizoee gheto lako tena ikiwezekana usideti navyo kabisa maana hawa ndio rahisi kukuingiza kwenye hiyo mitego
maana sasa hivi wazazi wengi wanajua vibinti vyao haviolewi kutokana na tabia chafu walizonazo kwa hiyo wanachofanya ni kutafuta kijana wa kumrubuni ndio kama hivyo unayaona mtaani
 
Wewe unajuaje kama huyo unayemuita baba ni "biological father" kwako?

Ubaba ni malezi ndio maana wazungu wana-adopt watoto ambao sio damu yao na kuwaachia urithi wa pesa nyingi sana.
Kuna tofauti kubwa kati ya kuadopt na kubambikiwa mimba kuadopt ni kwa upendo wako ila kubambikiwa ni uonevu
 
Back
Top Bottom