Siku hizi kuna mfumo mpya wa kudanga kwa akina dada

Kuna mmoja kaniambia Yupo Moro nimtumie nauli aje dar, mpaka leo namwambia sijapata, Najua yuko dar ananizingua tu
 
Pumbavu kabisa unatuaibisha unalalama kuombwa luku ya buku tano
 
Mwanamke akikupigia simu kukuomba pesa hata siku moja usimtumie kwenye simu. kama haumuamini Mwambie aje kwako kuichukua.
 
Mimi huwa nasema nipo kituo cha polisi nimekamatwa kwa kosa la kutupa takataka bahati mbaya nitumie elf 50 nitoe hapa faini nikiwapigia wanaume 10 haraka haraka nina sh ngapi?

Jasho la mwanaume haliliwi bure, matumaini yangu kwenye malipo yao pia huwa huwaangushi.

unawapa wanachostahili, kadri ya gharama zao
 
Mwanamke akikupigia simu kukuomba pesa hata siku moja usimtumie kwenye simu. kama haumuamini Mwambie aje kwako kuichukua.

Akija si anajua lazima agegedwe ndio apewe hela
 
Wazinzi na wa asherati ndio wanaoliwa.Mimi hela yangu ni ya malengo na atakula mtu wa malengo yangu na akiwa na sababu zenye malengo. Vinginevyo kauze K huko ipakwe laana.
 
Na wale wa 'samahani kaka naomba uniongezee nauli' na hapo ni usiku
 
Hahah shwaini mmoja huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…