Siku hizi kuna mfumo mpya wa kudanga kwa akina dada

Siku hizi kuna mfumo mpya wa kudanga kwa akina dada

Sio mm detective,mm ndio master mwenyewe. Ela ninazo hutoi kizembe zembe. Utawakilisha vielelezo kama vile unaomba mkopo benki.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
ukiwanyima wanakuita mbahili kumamaeee.zao
Hahahaha umenikumbusha mmoja yupo Gongo la mboto kaniambia ana shida ya elfu 3 nikamwambia sipo nchini ningekupa, nikamwambia lakini nipe namba zako nikirudi ntakutafuta. Hahaha kanikaushia siku ya pili namsalimia akanambia hataki salam ya mtu bahili dah! Niliishiwa nguvu. Akaniblock.
 
Mimi huwa nasema nipo kituo cha polisi nimekamatwa kwa kosa la kutupa takataka bahati mbaya nitumie elf 50 nitoe hapa faini nikiwapigia wanaume 10 haraka haraka nina sh ngapi?
Nakukubali jambazi langu ah ah ah ah ah
 
Siku hizi wakija nawageuzia ramani.
IMG_20180705_125234_820.jpg
 
Back
Top Bottom