Siku hizi Ligi za Ulaya hazina watazamaji wengi huku kwenye vibanda umiza

Siku hizi Ligi za Ulaya hazina watazamaji wengi huku kwenye vibanda umiza

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Baada ya Azam tv kuamua kuonyesha kila mechi ya Ligi Kuu ya NBC kwasasa Vibanda umiza vinajaza zaidi mechi za ligi ya NBC kuliko zile za Ulaya.

Mechi za Ulaya huko siku hizi hazina watazamaji wengi huku vibandani.

Coastal Union vs Yanga inaweza ikajaza ukumbi halafu huku Arsenal Vs Liverpool watazamaji wanahesabika ukumbini.

Sokoni DStv kwasasa ana hali mbaya, Watanzania wanapenda ligi yao inayooneshwa AzamTv kuliko ligi za Ulaya zinazooneshwa na DStv.
 
Baada ya Azam tv kuamua kuonyesha kila mechi ya Ligi Kuu ya NBC kwasasa Vibanda umiza vinajaza zaidi mechi za ligi ya NBC kuliko zile za Ulaya.

Mechi za Ulaya huko siku hizi hazina watazamaji wengi huku vibandani.

Coastal Union vs Yanga inaweza ikajaza ukumbi halafu huku Arsenal Vs Liverpool watazamaji wanahesabika ukumbini.

Sokoni DStv kwasasa ana hali mbaya, Watanzania wanapenda ligi yao inayooneshwa AzamTv kuliko ligi za Ulaya zinazooneshwa na DStv.
Ni sahihi kabisa. Bandani ninakoangaliaga mpira,mechi ya Arsenal Vs Liverpool ya jana hata 20 hatukufika. Ya West Ham vs Man U tulikuwa 6 tu
 
Kweli kabisa
Mechi nyingi za Ulaya zimejaa formation kuliko Raha za mpira zile zama za Gaucho Zizzou n.k hazipo unaenda kuangalia mpira ambao anauelewa kocha na wachambuzi we mtazamaji hupati kabisa rhythm ya mchezo
Ahaa
Umenikumbusha mpira wa zamani kipindi nacheza mpira. Utasikia kauli ya wajita " bhuma imbele" yaani kipa wewe tupia mbele tutajuana hukuhuku🤣🤣
Siku hizi mpira wa aina hiyo haupo tena.
 
Timu kubwa zimeyumba ulaya,watu wamezisusa.

1)Man u angekuwa anafunga watu
2) Arsenal ubingwa mara moja moja
3) Barcelona angekuwa wa moto kama motoalio nao sasa,maana El clasico hii ndio ilikuwa na vibe kabla ya mechi



Watu timu zao wamezikimbia ulaya kwa matokeo mabovu
 
Baada ya Azam tv kuamua kuonyesha kila mechi ya Ligi Kuu ya NBC kwasasa Vibanda umiza vinajaza zaidi mechi za ligi ya NBC kuliko zile za Ulaya.

Mechi za Ulaya huko siku hizi hazina watazamaji wengi huku vibandani.

Coastal Union vs Yanga inaweza ikajaza ukumbi halafu huku Arsenal Vs Liverpool watazamaji wanahesabika ukumbini.

Sokoni DStv kwasasa ana hali mbaya, Watanzania wanapenda ligi yao inayooneshwa AzamTv kuliko ligi za Ulaya zinazooneshwa na DStv.
Kuna ukweli kweny hili. Mitaani mechi za kibongo hasa za simba na yanga zinajaza sana zaidi hata ya Arsenal vs Man u au Man City! Kinachotokea ni kilekile kilichotokea kwenye mziki wa Marekani hapa nchini.
 
Ahaa
Umenikumbusha mpira wa zamani kipindi nacheza mpira. Utasikia kauli ya wajita " bhuma imbele" yaani kipa wewe tupia mbele tutajuana hukuhuku🤣🤣
Siku hizi mpira wa aina hiyo haupo tena.
Siku hizi Kuna kina deep ten na false nine mara inverted winger Sasa haya wengine tunakaa na kungoja goli liingie tushangilie
 
Back
Top Bottom