Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Mzee usinifanyie hivyo, nahitajiWatu wanamiliki "DStv poli" majumbani 50,000/= premium package ya miezi sita!
(Msisitizo ni hapo kwenye bold) Tusitafutane PM!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee usinifanyie hivyo, nahitajiWatu wanamiliki "DStv poli" majumbani 50,000/= premium package ya miezi sita!
(Msisitizo ni hapo kwenye bold) Tusitafutane PM!
Bongo muziki tu kwingine mnadanganyana.Hapo umenena mkuu. Bongo tunajitahidi sana kwenye upande wa burudani
Ukiachana na mpira kuna kipindi nilikuwa siwezi sikiliza kabia Bongo Flava ila siku hizi najikuta siku nzima ni Bongo tu.
Ameandika kwa kujumuisha kwamba sasahivi watanzania wanapenda zaidi hii ligi ya ndondo kuliko za nje.Ni wewe na mazingira uliyopo, mtaani kwangu hawaambii kitu kuhusu EPL.
Na kwa matokeo anayoyapata huyu Nyumbu naona wafuasi wake wamegoma kabisa kuangalia EPL🤔Man u ina karibu nusu ya washabiki wa mpira dunia nzima.
Hatuna mda na mpira umepoteza mvuto hiyo ndio nguvu ya mashetani wekundu🤣🤣🤣Na kwa matokeo anayoyapata huyu Nyumbu naona wafuasi wake wamegoma kabisa kuangalia EPL🤔
uzi ufungwe hapa umemaliza. nimeacha kuangalia pira la ulaya miaka dahari. ladha hakuna. ni maonyesho ya tattoo na vipaji lessKweli kabisa
Mechi nyingi za Ulaya zimejaa formation kuliko Raha za mpira zile zama za Gaucho Zizzou n.k hazipo unaenda kuangalia mpira ambao anauelewa kocha na wachambuzi we mtazamaji hupati kabisa rhythm ya mchezo
Jana wamepoteza nafasi za wazi kama Nane mwisho wa gemu wamepigwa wao ila MAN U😁Hatuna mda na mpira umepoteza mvuto hiyo ndio nguvu ya mashetani wekundu🤣🤣🤣
Acha tupigwe tu mkuuJana wamepoteza nafasi za wazi kama Nane mwisho wa gemu wamepigwa wao ila MAN U😁
Bora mlivyomtimua Ten hag yule sio kocha kabisaAcha tupigwe tu mkuu
Hii ni sababu ya uongoHizo ligi za Ulaya zinapromote ushoga ndiyo maana Watanzania wameamua kuachana nazo
Watazamaji wa EPL wamehamia kuangalizia kwenye simu maana hio competition ya TV bandani ni dhidaa. EPL Au NBC wengi waachiwe TVBaada ya Azam tv kuamua kuonyesha kila mechi ya Ligi Kuu ya NBC kwasasa Vibanda umiza vinajaza zaidi mechi za ligi ya NBC kuliko zile za Ulaya.
Mechi za Ulaya huko siku hizi hazina watazamaji wengi huku vibandani.
Coastal Union vs Yanga inaweza ikajaza ukumbi halafu huku Arsenal Vs Liverpool watazamaji wanahesabika ukumbini.
Sokoni DStv kwasasa ana hali mbaya, Watanzania wanapenda ligi yao inayooneshwa AzamTv kuliko ligi za Ulaya zinazooneshwa na DStv.
Ngoja tuoneBora mlivyomtimua Ten hag yule sio kocha kabisa