Siku hizi Marekani/Hollywood ina idadi kubwa sana ya movie mbaya

Siku hizi Marekani/Hollywood ina idadi kubwa sana ya movie mbaya

Jorge WIP

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2018
Posts
3,567
Reaction score
5,323
Hili suala linazid kukua kila siku movies mbaya zinaongezeka kwa kasi kubwa sana, Movie nyingi siku hizi zina agenda za ajabu hadi unashangaa hivi waliwaza nini kutengeneza huu upuuzi, hapo chini nimekuwekea list ya baadhi ya movies ambazo nimeziona ziko hovyo mwaka huu 2021.. unaweza kuongezea na yako.

Hollywood imeishiwa ideas mpya inaamua kutengeneza remakes ambazo zinaharibu heshima kwa original movies, mtazamo wangu mpaka sasa muhimili wa Hollywood unayumba na uko unatetewa na watu wachache ila nao wakitikisika tu.... basi hamna kitakachosalia na tutabakiwa na movies ambazo sio decent bali ni matatizo tu. Hii inaenda mpaka kwenye Tv- series kwanza huko ndio balaa

List ya Movies ambazo ni disappointing ndani ya huu mwaka 2021

1. Snake Eyes

2. Venom 2

3. Eternals

4. The Matrix 4

5. Resident evil 2021

6. Coming to America 2

7. Suicide Squad 2021

8. Thunder Force

9. Home sweet Home Alone

10. Army of the Dead

11. .......etc

Na kibaya zaidi hapo hizo nyingi ni muendelezo wa Movie za mwanzo ambazo zilikuwa classic
 
Mnachoshindwa kujua ni kwamba hata holywood kuna bongo muvi ya holywood..sjui umenielewa..hzo zote ulizotaja zmeaandaliwa kwanza low budget halaf nying ni za uwakala..yes..nying ni jina la movie limenunuliwa na production nyingne za hali ya kati ..ndomana unaona nying za hovyo

Hzo muvi production company zote ni za tia maj tia maj...sasa production company kama ya tyler perry unategemea movie iweje mkuu..si ndo masihara meeng..had kina 50cent na kina chris brown ni mastaa huko
 
Bora movie zingine ila muendelezo wa matrix ulipaswa uwe wa akili ya juu zaidi

Kabisa yaani Matrix ya mwaka huu ilibid iwe kama ya 2030 hao wakatengeneza kitu simple. Keanu kasema hata fight scene hawaku choreograph kwa mda mrefu sana eti

Hapa na ndio wasi wasi unanijia kwa Avatar 2
 
Mnachoshindwa kujua ni kwamba hata holywood kuna bongo muvi ya holywood..sjui umenielewa..hzo zote ulizotaja zmeaandaliwa kwanza low budget halaf nying ni za uwakala..yes..nying ni jina la movie limenunuliwa na production nyingne za hali ya kati ..ndomana unaona nying za hovyo

Hzo muvi production company zote ni za tia maj tia maj...sasa production company kama ya tyler perry unategemea movie iweje mkuu..si ndo masihara meeng..had kina 50cent na kina chris brown ni mastaa huko

No sio kweli mzee, japo hapo kwa tyler perry una point nakubali ila hapo hizo nyingi ni Movies za production company kubwa mfano: eternals ni mbovu ila imetengenezwa na Marvel sasa siku hizi nani anauza zaid ya marvel?

Mfano mwingine hiyo Matrix ni Warner Bros kampun kubwa tu hizo, angalia Venom ni sony na Marvel hao
 
Venom nimeiangalia sababu Tom ni my favourite character, matrix sijaingalia ila kwa maoni ya watu inanishawishi nisiitafute
 
Nilifikiri peke yangu ndiye nimeona "The Matrix Resurrected" imeboa.

I was like "Where Fishburne at?"

Ila big budget movie makaratee mengi kama kawa.

What do you all think about "No Time To Die"?
 
Venom nimeiangalia sababu Tom ni my favourite character, matrix sijaingalia ila kwa maoni ya watu inanishawishi nisiitafute

SPOILER ALERT!

Matrix ndani ya movie yenyewe actors wanaipondea hiyo hiyo movie ya Matrix.

Hapo ndo utacheka uko katika Matrix ya Matrix![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Stori mbovu kabisa na muvi zinakosa mpangilio mzuri na visa vya kusisimua kama wakorea mpk najiulize eti hawa ndio wanaotutengenezea madawa ya kutumia sisi kweli ?(joking)

Hahahah dah... sema wakorea mm wanachonishinda naona wako laini sana kuna character ya evil vilain akiwa mkorea naona utani aisee, kuna zile adui Russian mob unaona kabisa kweli hii ni mafia yenyewe[emoji28]
 
movie nyingi sio mbaya kweny hio list yako ni wewe tu hupendi movie za adventure na sci-Fi binafsi naona movie mbaya za Holywood zinakuja kutokana na kuwepo kwa kampuni nyingi za kuzalisha movie ambazo zinatumia low budget
 
movie nyingi sio mbaya kweny hio list yako ni wewe tu hupendi movie za adventure na sci-Fi binafsi naona movie mbaya za Holywood zinakuja kutokana na kuwepo kwa kampuni nyingi za kuzalisha movie ambazo zinatumia low budget

Sci-fi ni Genre yangu pendwa hapo kila movie niliyoiweka nna sababu kwann nimeiweka, Low budget ni sababu kubwa sawa nakubaliana nayo ila sio kwa case zote maana Fast & Furious 9 nayo shida utasema Low budget?
 
Tasnia ya filamu imeathirika sana pia kutokana na COVID-19. Hasa katika uzalishaji pamoja na ufadhili wa kifedha. Low-budget films zimekithiri!
 
Back
Top Bottom