Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kali Dont breathe 2Fast and furious nimegoma kuiangalia, red notice sio mbaya sana ila masikhara mengi kwenye mambo serious.
Escape room 2 wamenibamba. Weekend hii naangalia Don't breathe 2, sidhani kama watanidissappoint!
Venom 2 ni kali japo ina comedy,Resident evil mm sjaona kama inashida japo story imekuwa ya mdada mwingine japo Kisa ni kile kile cha umbrella coorperation
'No Time To Die' is great mkuu. They gave him (Craig) a perfect send-off!Nilifikiri peke yangu ndiye nimeona "The Matrix Resurrected" imeboa.
I was like "Where Fishburne at?"
Ila big budget movie makaratee mengi kama kawa.
What do you all think about "No Time To Die"?
Na mimi nimeikubali. Kati ya movies chache za 2021 nilizozikubali.'No Time To Die' is great mkuu. They gave him (Craig) a perfect send-off!
Very tough to follow na sijui wanampa nani next hawa watu wa Malkia 😀 . I hope hawataharibu hii 007.Na mimi nimeikubali. Kati ya movies chache za 2021 nilizozikubali.
Craig is a tough act to follow.
James Cameroon hajwahi kukosea na hatokaa akoseee...yule mtu ni genius...mKabisa yaani Matrix ya mwaka huu ilibid iwe kama ya 2030 hao wakatengeneza kitu simple. Keanu kasema hata fight scene hawaku choreograph kwa mda mrefu sana eti
Hapa na ndio wasi wasi unanijia kwa Avatar 2
Hii movie ya kawaida sana tofauti na nilivyokuwa naizania labda sehemu ya 3 kama watatoa.Ni kali Dont breathe 2
Mimi saivi nitakuwa naangalia movie za Toff Guy production ya Miramax kwa sababu wanajutahidi sana kutoa movie kali kama Wrath of Man na The Gentlemen
Mwamba wa undisputed? Huyo hata kama anatoa low budget movie bado anajitahidiHapa tumuweke na Scott Adkins na yule shosti ake Jai White..yani ni huzuni[emoji22]
Hizi movie itakuwa zinashutiwa within 2 or 3 days mzigo tayari
Pia Guy Ritchie yupo vizuri. Movie Kama Wrath of man unaweza kurudia mara ya piliJames Cameroon hajwahi kukosea na hatokaa akoseee...yule mtu ni genius...m
Ukiona role actors hawa kwenye movie za siku hizi,usipoteze muda wako kuiangalia[emoji706]
1. Bruce wills
2. Nicolas Cage
3. Steven Seagal
Hawa ni kama wamechanganyikiwa na uzee...Karibia kila wiki wanatoa cheap budget movies.