Siku hizi ni kama vile hakuna maajabu tena kwenye kufanya mapenzi

Siku hizi ni kama vile hakuna maajabu tena kwenye kufanya mapenzi

Pole sana kazi na umri umeshakinai
kwahiyo inabidi ujikunjue mwenyewe tu dah, mi nilidhani haya mambo hayanaga umri, maana vizee vinapelekea moto vijukuu inakuaje hapo gentleman?🐒
 
Ndo maana nasema hilo tendo lifutwe.....
kwa sheria na kifungu kipi kwenye katiba kwa mfano?

hiyo ni kudhulumu haki za binadamu, ingawa kutegeana kwenye game na koonyesha show mbovu ni unyanyasaji wa kisaikolojia 🐒
 
Kukurukakara zimepotea kabisaa. hakuna vionjo vipya wala vya zamani tena, hakuna amsha amsha, na kabisaa hakuna maajabu kunako 6kwa6.

Cha kushangaza zaidi ni kwamba, wahusika huenda ndio kwanza wachumba tu, au ni mchepuko.

kulikoni ngoma nzito namna hiyo nyakati hizi? vibe hakuna kabisaa?

Game imepooooaa mno.

nini maoni yako ndugu mdau?

Kongole nyingi sana Dar Es Salaam Young Africans, kwa kuinyandua Simba bao moja la uchungu sana hadharini mchana kweupe leo, pale lupaso 🐒
Hatari sana
 
Wengine sio uzee miaka 40 tu hamna kitu zaidi ya kupitisha haja ndogo ha ha ha ha
Mhn! Miaka 40 hamna kitu? Itakuwa umetokea kwenye umasikini mkubwa na life expectancy ni extremely low.
 
Acha zinaa..oa umfurahie mke wa ujana wako
siku izi kijana akioa,
Yes mnakula kuku mnakunywa na bia sana tu, lakini unamuonea huruma sana, ni kama kabeba bomu tu la kujitoa muhanga likamlipukie mwenyewe nyumbani, sijui kwanini aise?

halafu changamoto kubwa zaidi siku hizi ni haya haya ya game kufanyika chini ya kiwango..

sifahamu makosa ilifanyika wapi mpaka tukafikia huku kama jamii 🐒
 
Mapenzi yanakutesa sana na ulivyo mpjinga unahisi wote tunateseka kias unaamua kugeneralise yanayokusibu.

Mapenzi matamu na watoto wa kizazi hiki ni wanyama vibaya mno mtu unaezamwaga ubongo.

Punguzi matumizi ya Pombe kali na Wanawake Wazee.
 
we we we we,
gentleman?

hoja na mambo ni mengi sana,
unalalaje kwa mfano?

ni hakuna kulala kwenye game hakuna kulala mjengoni. Ni mwendo wa kukuru kakara hoja juu ya hoja mpka kieleweke...

unajua raha ya kua kiongozi ni pamoja na mwananchi apate maendeleo kijamii, kisiasa na kiuchumi kitaifa au kimataifa 🐒
Hilo lipo wazi ila kwa umri wako ukishasaini posho ni kulala tu huku vieite ikiunguruma nje ikikungoja.
 
Kukurukakara zimepotea kabisaa. hakuna vionjo vipya wala vya zamani tena, hakuna amsha amsha, na kabisaa hakuna maajabu kunako 6kwa6.

Cha kushangaza zaidi ni kwamba, wahusika huenda ndio kwanza wachumba tu, au ni mchepuko.

kulikoni ngoma nzito namna hiyo nyakati hizi? vibe hakuna kabisaa?

Game imepooooaa mno.

nini maoni yako ndugu mdau?

Kongole nyingi sana Dar Es Salaam Young Africans, kwa kuinyandua Simba bao moja la uchungu sana hadharini mchana kweupe leo, pale lupaso 🐒

Sample space ya research yako ni ipi? Na umeitendeaje Haki kuja na hiyo conclusion jumuishi?
 
Mapenzi yanakutesa sana na ulivyo mpjinga unahisi wote tunateseka kias unaamua kugeneralise yanayokusibu.

Mapenzi matamu na watoto wa kizazi hiki ni wanyama vibaya mno mtu unaezamwaga ubongo.

Punguzi matumizi ya Pombe kali na Wanawake Wazee.
mapenzi yanatesaje tena gentleman na wakati ni zawadi ambayo iko available sana na bwerere mno nyakati hizi? Labda cha kushangaza tu ni kuona majamaa eti yanajiua au kuua wenzao kwaajili ya mapenzi dah !

halafu gentleman ,
kwani kuna mapenzi ya jumla na rejareja?🐒
 
Back
Top Bottom