Siku hizi sikutani na wanawake wengi wenye mimba mtaani sababu wanaume wamejikita kwenye kubeti

Siku hizi sikutani na wanawake wengi wenye mimba mtaani sababu wanaume wamejikita kwenye kubeti

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
8,581
Reaction score
15,618
Uchunguzi wangu wa muda mfupi unaonyesha kuwa huku mitaani kuna upungufu mkubwa wa wanawake wenye mimba. Hii maanake ni kwamba wanawake hawa hawaingiliwi na wanaume zao.

Nikajaribu kufanya kautafiti nikagundua sababu moja tu inayopelekea haye.

1. Vijana/wanaume wengi kwa sasa wanashindwa ama hawana muda wa kujamiina na wenza wao. Na hii imesababishwa na wengi kuingia kwenye hii mchezo ya kubashiri.

Unakuta kijana/mwanaume anashinda usiku akiangalia mikeka inaendeleaje. Na kama alikuwa na matumaini ya kupata, ikitokea mkeka ukachanika ndio basi tena, huduma za ndani kwa siku hiyo ndio hamna kabisa.

Kwa Miaka michache iliyopita kukutana na wamama wajawazito ilikuwa ni jambo la kawaida kabisa. Ila kwa sasa kuna upungufu mkubwa wa mama wajawazito.
 
Hatumwelewi

KWA SABABU SISI SIO WAUAJI ILA WEWE NDIO MUUAJI - MUUE 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 KWA SABABU SISI SIO WAUAJI ILA WEWE NDIO MUUAJI - MUUE
 
Uchunguzi wangu wa muda mfupi unaonyesha kuwa huku mitaani kuna upungufu mkubwa wa wanawake wenye mimba. Hii maanake ni kwamba wanawake hawa hawaingiliwi na wanaume zao.
Nikajaribu kufanya kautafiti nikagundua sababu moja tu inayopelekea haye.

1. Vijana/wanaume wengi kwa sasa wanashindwa ama hawana muda wa kujamiina na wenza wao. Na hii imesababishwa na wengi kuingia kwenye hii mchezo ya kubashiri. Unakuta kijana/mwanaume anashinda usiku akiangalia mikeka inaendeleaje. Na kama alikuwa na matumaini ya kupata, ikitokea mkeka ukachanika ndio basi tena, huduma za ndani kwa siku hiyo ndio hamna kabisa.
Kwa Miaka michache iliyopita kukutana na wamama wajawazito ilikuwa ni jambo la kawaida kabisa. Ila kwa sasa kuna upungufu mkubwa wa mama wajawazito.
Copy Pdidy
 
vijana hawa kataa ndoa au wale wa kule wanawake wanapovuka boda kwenda kenya kutafuta huduma? bora wasishike mimba kuliko kuzaa na watu wasiowajibika kwa malezi ya watoto wao na mwisho kabisa tuje tuwasimange huku kwa kuwaita single mother.
 
Mimba vs betting
Tuanzie hapa uhusiano wake mkuu ufungue wengine m ne bettor na Nina watoto wanna na nimeanza kubet miaka 9 iliyopita...WA Tano Yuko Nje lakini Mungu anaemjua kama n wangu..sasa nipe mahusiano kidogo pengine nikipumzika naweza ongezaa kumfikia 7
 
Uchunguzi wangu wa muda mfupi unaonyesha kuwa huku mitaani kuna upungufu mkubwa wa wanawake wenye mimba. Hii maanake ni kwamba wanawake hawa hawaingiliwi na wanaume zao.

Nikajaribu kufanya kautafiti nikagundua sababu moja tu inayopelekea haye.

1. Vijana/wanaume wengi kwa sasa wanashindwa ama hawana muda wa kujamiina na wenza wao. Na hii imesababishwa na wengi kuingia kwenye hii mchezo ya kubashiri.

Unakuta kijana/mwanaume anashinda usiku akiangalia mikeka inaendeleaje. Na kama alikuwa na matumaini ya kupata, ikitokea mkeka ukachanika ndio basi tena, huduma za ndani kwa siku hiyo ndio hamna kabisa.

Kwa Miaka michache iliyopita kukutana na wamama wajawazito ilikuwa ni jambo la kawaida kabisa. Ila kwa sasa kuna upungufu mkubwa wa mama wajawazito.
Hao ni wavulana .. mwanaume haiwezi kutegemea kubeti ndio aendeshe maisha
 
Issue sio mimba kijana
Issue una sperms za kutosha una sperm zenye afya

Hizi zinachangiwa na vitu kadhaa
1.kulogwa na ulienwacha
2.kula ma vyakula yasio na TIJA yasioweza tengeneza shahawa za kutosha
3.unywaji pombe kupitilixa na uvutaji sigara nao INACHANGIA kukosa mimba wanawake
4.Mwanamke anaweza kuwa nae ana shida kalogwa na befriend wake
5.mwanamke akiumwa sana magonjwa ya ukeni yanachangia KUSHINDWA kupokea shahawa HATA kama Zina afya kama betting
6.Mayai ya mwanamke kama Yana shida mkuu HAPO utasaga tu

Ya mwishooo

Ukiona mkeo hapati mimba mkuu nenda pale osterbeay mbuyuni uliza kwa dk mgaya upande WA pili na kituo


Pale mkuu atakuliza maswali ya pombe na sigara BAADA ya HAPO atakupa vyeti uende tmj hii ndio hospt inaheshimikankwa vipimo vya uzazi kuliko HATA aghakhan

HAPO utakaa sikukadhaa utarudi kwake akupe dawa unywe na masharti

Hatokupima betting ulishinda ngapi ama umepigwa ngapi mkuu

Na ukipata vipimo hatokwambia ACHA betting mkuuu n issue ya shahawa zako na mama ana mayai ya kupokea
 
Sio kweli, tembelea Siku Moja hospitali utawaona wa kutosha.

Juzi nilitembelea hospitali fulani ya private hapa Mjini, niliwakuta wengi tu halafu asilimia 96 ya niliowaona, wamevaa shorts

Yaani unamkuta Mjamzito amependeza hatari, halafu amenona ile mbaya 😋

Daah, bora tumezeeka tu 🙌
 
Back
Top Bottom