Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 16,096 Reaction score 49,651 Feb 26, 2025 #41 Pdidy said: Salute Click to expand... 🙏🙏
Dei Gratia Rex JF-Expert Member Joined Sep 13, 2024 Posts 423 Reaction score 696 Feb 26, 2025 #42 Wanawake huwa wanataka kuzaa tu na kuitwa mke wa fulani. Alafu baada ya hapo anataka urudishe fadhila kwake kama vile ilikuwa ni lazima kuishi nae. Shule zikidai ada,utasikia hebu nendeni kamueleze baba yenu huko. Kuna ndugu yangu ni mteja mzuri wa maduka ya Meridian na anamsomesha mwanae Braeburn(dsm). Biashara anazo ila anajiongeza pia kwenye kamari. Wanawake ndiyo huleta mahangaiko kwenye hii dunia.
Wanawake huwa wanataka kuzaa tu na kuitwa mke wa fulani. Alafu baada ya hapo anataka urudishe fadhila kwake kama vile ilikuwa ni lazima kuishi nae. Shule zikidai ada,utasikia hebu nendeni kamueleze baba yenu huko. Kuna ndugu yangu ni mteja mzuri wa maduka ya Meridian na anamsomesha mwanae Braeburn(dsm). Biashara anazo ila anajiongeza pia kwenye kamari. Wanawake ndiyo huleta mahangaiko kwenye hii dunia.
majam19 JF-Expert Member Joined Nov 13, 2024 Posts 900 Reaction score 971 Feb 27, 2025 #43 P2 is a very reliable