Siku hizi ukikutana na mtu ambae hukumchangia harusi yake basi utakuta hakuchangamkii kama zamani

Siku hizi ukikutana na mtu ambae hukumchangia harusi yake basi utakuta hakuchangamkii kama zamani

Sema kama una pesa jaribu kutoa '' usiache mbachao kwa msala upitao ''

Kwa ishu za kupita ni vyema ukajitoa , maana kuna mengi sana ya kusaidia ..Onyesha umuhimu pale mtu anapohitaji msaada wako kama unao uwezo ..
Tunapenda kutoa kaka unakuta tuko kwenye hali mbaya usipotoa wanakubatiza jina fake friend hivi na ulaya iko hivo??
 
😂😂Afu wanaweka bei kubwa kubwa tu utasikia single 100,000
Ndiyo hivyo Sasa Mimi nikuchangie laki na Nina mikopo benki ,kwenye mshahara nimebakiza laki mbili unusu alafu eti nikate laki nzima nikupe ? Thubutu Mimi ni mwendo wa mbio na kukukwepa mpaka uombe msamaha wewe mwenyewe.
 
Ndiyo hivyo Sasa Mimi nikuchangie laki na Nina mikopo benki ,kwenye mshahara nimebakiza laki mbili unusu alafu eti nikate laki nzima nikupe ? Thubutu Mimi ni mwendo wa mbio na kukukwepa mpaka uombe msamaha wewe mwenyewe.
😂😂😂afu wanadai kwa nguvu sana kaka na kwenye magroup yao wanakuunga bila hata kukushirikisha
 
😂😂😂afu wanadai kwa nguvu sana kaka na kwenye magroup yao wanakuunga bila hata kukushirikisha
Mimi hata waniunge kwenye magrupu yao yaaani sileft group wala nini ila mpaka wao wenyewe watanileftisha tu maana uwa sichangii chochote nakuwepo kama mpelelezi wa harusi yao .
Ila harusi ikiisha wakaanza kuongelea harusi ,basi na Mimi hapo nitawapongeza Sana na kuview picha zao na kusema mlipodendeza sana ,ni hapo lazima wanipopoe ,nikishapopolewa nakuwa nimepata chance ya kuleft maana Mimi mtu mzima siwezi kubali kupopolewa kizembe hivyo
 
Mimi hata waniunge kwenye magrupu yao yaaani sileft group wala nini ila mpaka wao wenyewe watanileftisha tu maana uwa sichangii chochote nakuwepo kama mpelelezi wa harusi yao .
Ila harusi ikiisha wakaanza kuongelea harusi ,basi na Mimi hapo nitawapongeza Sana na kuview picha zao na kusema mlipodendeza sana ,ni hapo lazima wanipopoe ,nikishapopolewa nakuwa nimepata chance ya kuleft maana Mimi mtu mzima siwezi kubali kupopolewa kizembe hivyo
hahaha kaka una mbinu za kivita sana kumbe huwa unapata hata ujasiri wa kuwapongeza
 
Michango jau sana. Hizi nguvu tungezielekeza kwenye koo zetu kuchangia Wagonjwa na walioanguka kiuchumi tungebarikiwa sana.

Au harusi ikiwa ya bei ndogo kwa Mungu haitambuliki?
 
Michango jau sana. Hizi nguvu tungezielekeza kwenye koo zetu kuchangia Wagonjwa na walioanguka kiuchumi tungebarikiwa sana.

Au harusi ikiwa ya bei ndogo kwa Mungu haitambuliki?

Michango jau sana. Hizi nguvu tungezielekeza kwenye koo zetu kuchangia Wagonjwa na walioanguka kiuchumi tungebarikiwa sana.

Au harusi ikiwa ya bei ndogo kwa Mungu haitambuliki?
Upo sahihi sana mkuu
 
Kabisa kaka wanatuhukumu bure sio kwamba hatupendi kuchangia ila hali ngumu afu kiasi wanachopanga mtu achangie sio rafiki unakuta single 50000 double 100000 afu wengine kipato chetu 150000 kwa mwezi inasikitisha
Hapo kakuhurumia, kama ni rafiki anataraji umpige push kubwa tofauti na michango ya kadi.

Mwingine sherehe ipo mkoa Ila usipoenda, anakuona snitch hata kama mmepitia mengi in life
 
Michango jau sana. Hizi nguvu tungezielekeza kwenye koo zetu kuchangia Wagonjwa na walioanguka kiuchumi tungebarikiwa sana.

Au harusi ikiwa ya bei ndogo kwa Mungu haitambuliki?
Uliposema walioanguka kiuchumi Mimi hoi ,yaani inamaanisha wamekula mweleka wa uchumi
 
Mwezi mmoja nyuma waliniadd kwenye group la michango bila kuniuliza. Nika mute group shughuli ikaisha.
 
Back
Top Bottom