Siku hizi ukikutana na mtu ambae hukumchangia harusi yake basi utakuta hakuchangamkii kama zamani

Siku hizi ukikutana na mtu ambae hukumchangia harusi yake basi utakuta hakuchangamkii kama zamani

Ukiona mtu kakufuata kukuomba mchango ujue ametambua ya kuwa unanafasi kwenye maisha yake,siyo kila mtu anaombwa mchango,haya yeye kakuomba mchango kwenye sherehe wewe ukipata tatizo zito yeye atakufuata tu siyo mpaka umuombe akusaidie
 
Skuizi hii nchi imeshakuwq na mambo mengi ya kijinga sana aiseee....
Ongeza na hii.
Ujinga_cleanup.png
 
Ukiona mtu kakufuata kukuomba mchango ujue ametambua ya kuwa unanafasi kwenye maisha yake,siyo kila mtu anaombwa mchango,haya yeye kakuomba mchango kwenye sherehe wewe ukipata tatizo zito yeye atakufuata tu siyo mpaka umuombe akusaidie
Nafasi ya konyo. Anachotaka yeye ni kutimiza bajeti yake tu.
 
Back
Top Bottom