Ukiona mtu kakufuata kukuomba mchango ujue ametambua ya kuwa unanafasi kwenye maisha yake,siyo kila mtu anaombwa mchango,haya yeye kakuomba mchango kwenye sherehe wewe ukipata tatizo zito yeye atakufuata tu siyo mpaka umuombe akusaidie
Ukiona mtu kakufuata kukuomba mchango ujue ametambua ya kuwa unanafasi kwenye maisha yake,siyo kila mtu anaombwa mchango,haya yeye kakuomba mchango kwenye sherehe wewe ukipata tatizo zito yeye atakufuata tu siyo mpaka umuombe akusaidie