Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Mzigo unatoka wenyewe mpaka njia ya mkojo inakaribia kuziba.
mimi mashine ilikuja ikavimba ikawa kubwa mara 2 aisee kuishikatu ni maumivu makali sana nikikojoa bado maumivu ya kung'ang'ania kwenye boxer bado kero sa uchafu bado kero ya homa na wenge aiseee acha kabisaaa
 
Acheni kuendekeza ngono vijana oeni

ujana ni maji ya moto kuna mda hayo maji yatapoa tu

Namuomba Mungu aniepushe na Zinaa
Sasa huo ujana wa moto si ndo inabidi uutumie effectively ili ukifika huo muda ukapoa ukikumbuka ya nyuma unasema yes kazi niliifanya
 
mkuu figo zinaweza haribika kwa mda gani. maana kuna siku nilipata hii kitu nikakaa siku 5 bila kwenda HOSP nikaanza kusikia maumivu mgongoni na kwenye kiuno na kwa ndani ya mgongo.
Uti iliyokomaa ndio inaathiri figo. Ukianza kuhisi maumivu ya nyonga na mgongo ikiambatana na homa UTI Inakuwa imeshavamia figo. Kwa mwanamke mara nyingi UTI ikianza unahisi mkojo kuchomachoma wakati unakojoa. Ukiwahi kwa maji mengi unaweza ku clear kabla haijaenda mbali. Pia ukipendelea kunywa maji mengi UTI unakuwa hupati mara kwa mara
 
We chakata tu boss. Kila mtu atumie masaa yake ya kuwa hai duniani kwa namna anavyoona ni sahihi kwake. Kwangu mm katika haya masaa niliyopewa nimechagua njia ya kuwa na mke na kulea watoto tukiwa pamoja.
Sawa, ngoja tukomae boss wangu
 
Reactions: Tsh
thanks
 
Atokee mtaalam awatofautishie gono na u.t.i kwa uelewa wng ule usaha unaochafua boxer ule sio uti ni gono.
sio gono mkuu maana navyo jua gono ukipata harufu yake lazima ukimbiwe mazeee baba
 
mkuu figo zinaweza haribika kwa mda gani. maana kuna siku nilipata hii kitu nikakaa siku 5 bila kwenda HOSP nikaanza kusikia maumivu mgongoni na kwenye kiuno na kwa ndani ya mgongo.
Wewe ni ME au KE
 

Hivi inakuwaje wao hawajijui kuwa wana magonjwa? Au yanakuwa sugu kwahiyo wamezoea tu.. na ukikuta hivyo ujue ni malaya kweli yan.. mi nikiona dalili yoyote tu namblock
 
Tusitishane mkuu. Wote tutakufa
Kwani ni suala la kutishana au ni suala la uhalisia? KIFO NDIO KINAKUJA, NI VILE HUNA SAA TU YA KUKUONYESHA KIMEKARIBIA KWA UKARIBU GANI LAKINI KINASOGEA KILA SIKU. Ndo maana nakwambia chakata mbususu maana ndo maamuzi yanayokupa raha, kifo kinakuja hutaweza zichakata tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…