luchelele mzunguko
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 1,206
- 1,641
Dah mkuu[emoji51]Wanawake wananuka sana siku hizi wanatoa sana ndogo, hawanyi kabla ya kutoa ndogo, machine zinapoga ndogo na kuhimia Kwa K-Vant bila kunawa, nyesi linaingia Kwa K-Vant, kuoga wavivu, hovyo kbsa shahawa wanamwagiwa na wengi mwanamke anapigwa na watu 10-20, hawachambi Kwa maji hujali tishu hawanawi, hawatembei na lesson, wala kanga siku hizi wanawake ni mabaya tu
Mkuu tuchakate mbususu, hakuna haja ya ku-complicate mambo kikubwa uhai tuSindompaka ufike salama huo muda kama ukiamua kutumia huo ujana wako wa moto. Au we ukajua ukishautumia hauna consequences [emoji23][emoji23]. Hayo magonjwa kwavile siyo HIV na tunayatibia yanapona tunadhani hamna madhara. Ila kimsingi yanashusha probability yako ya kupata mtoto uwe mwanaume au mwanamke.
Au vile vitenge mnakata kata papuchi inakua salama dada akeHayo magonjwa kusumbua wanawake wengi sababu sio ngono nzembe bali sababu kubwa ni aina ya pedi tunazotumia....tunatakiwa turudi kwenye kutumia vitaulo sababu hili limekua ni janga kubwa sana kwetu
Ukifa utaenda peponi"...ukiruka stage flani katika maisha Kuna siku utaifanya ukiwa mzee..."
naogopa sana sentensi hiyo hapo juu! Miaka 50 kasoro kidooogo, sijawahi kuugua ugonjwa wowote wa zinaa, wanawake niliowahi kutembea nao nawakumbuka wote kwa sura na majina yao, kabla siajoa ilikuwa vigumu sana kuwa na mahusiano na wasichana wawili kwa wakati mmoja!
Wanaume ni viumbe watakatifu haya magonjwa mnatuletea nyinyiUnakuta mwanaume anakula wanawake kibao kwa wakati mmoja na hakumbuki kinga kwa nini usikipate cha moto??? haya bado wale wapita rough roads tena peku alafu unakuta nae yupo hapa kuponda wanawake ebooo badilikeni kwanza nyie.
Hawa virus na bacteria wanaishi kwenye vagina as free state Kama vile bacteria anavyoishi kwenye udongo so wakizidi ndio inakuwa shida nyinyi ndio kama agent au tuseme vectorLakini huyo mwanamke ameupata wapi kama siyo kkutoka kwa mwanamme mwenzako?
Dhambi nyingine nimekubuhu mkuu!Ukifa utaenda peponi
🤣🤣🤣 Hata sikujibu kituWanaume ni viumbe watakatifu haya magonjwa mnatuletea nyinyi
Saivi kati ya wanawake 3 basi walau 1 ana harufu mbaya sana ukeni. Ukiingiza mb.oo hlf ukachomoa utakuta mb.oo inatoka na hiyo harufu mbaya kabisa hata paka aliyekufa anasubiri. Sijui ndoizo wanaita PID sijui. Halafu unakuta huyo ni mdada pisi kali tu wakutazamika.Wanawake wananuka sana siku hizi wanatoa sana ndogo, hawanyi kabla ya kutoa ndogo, machine zinapoga ndogo na kuhimia Kwa K-Vant bila kunawa, nyesi linaingia Kwa K-Vant, kuoga wavivu, hovyo kbsa shahawa wanamwagiwa na wengi mwanamke anapigwa na watu 10-20, hawachambi Kwa maji hujali tishu hawanawi, hawatembei na lesson, wala kanga siku hizi wanawake ni mabaya tu
Tuoneeni huruma wanaume jamani mtatuua yarabi ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata sikujibu kitu
Mkitulize na nyieTuoneeni huruma wanaume jamani mtatuua yarabi ..
Mnoooo yani wadada wanaliwa jamani..yote ni tamaa tuShida matunda haya yanaliwa sana kimasihara siku hizi.
nilienda hospitali nikakutana na dokta aka niambia ni UTI baada ya vipimo vikubwa. swali langu ni kuwa wewe na daktari nani anajua zaidi au wewe na vipimo nani anajua zaidi na kwa sasa niko poa baada ya kutumia vidonge vya UTIMkuu hiyo siyo UTI ni gonorrhea au kisonono. Nauhakika iliambatana na maumivu makali wakati wakukojoa
Gonorrhea na UTI vyote hutibiwa na antibiotics na actually gonorrhea inaweza tibiwa kwa vidonge tu na sio sindano maana sio lazima uchome powersafe kupona gono. Na moja ya vidonge vinavyotibu uti, pia hutibu gono, hapo nasema cipro au amoxiclav. So nothing new.nilienda hospitali nikakutana na dokta aka niambia ni UTI baada ya vipimo vikubwa. swali langu ni kuwa wewe na daktari nani anajua zaidi au wewe na vipimo nani anajua zaidi na kwa sasa niko poa baada ya kutumia vidonge vya UTI
🤣🤣🤣Pumbavu kabisa hawa viumbe alafu doctor anakwambia uende nae na yeye akatibiwe. [ emoji57] Atajua mwenyewe huko
🤣🤣🤣Aise bora tuu tuendelee na chaputa
Hatari tumependeza usoni tu ndani balaa!Wanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.
Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi zikipita siku mbili bila kuona uchafu au kusikia tofauti wakati wa kukojoa basi unamshukuru Mungu.
Wanaume hawa viumbe watatumaliza na mbaya zaidi magonjwa haya wanakaa nayo kwa muda mrefu bila wao kujijua.
Unaenda kwa daktari anakwambia umlete na mwenzako mtibiwe wote, huo muda mimi nautoa wapi doctor..
Unakuta mwanamke mzuri mrembo shepu zuri msafi ananukia lakini jichanganye wewe mtoto wa kiume kutembea nae peku ukitoka salama mshukuru Mungu.
Wanaume wengi tunakutana na hali kama hii ila huwa ni siri yetu na doctor, hatuwaambii nyie wanawake zaidi ya kukuacha kimya kimya.
🤣🤣Hizo self service zimezidi aisee.View attachment 2348801