Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Dah! Kwa hiyo mkuu unatoa njia ili watu waendelee kufirana [emoji848]
 
Mkuu unaweza kuanzia popote Maisha ni kuinjoi katika umri wowote kikubwa sote tutakufa hamna umri maalumu wa kufa pia, unaweza pata mke mzuri mkamalizia Maisha mkavumiliana wapo vijana wanaoa miaka 26 mpaka miaka 28 hamna ndoa Tena..

Kama moyo hautaki usiforce fanya vile roho inapenda .
 
Miaka km mitano hiv nyuma tangu hapo hta niwe na homa vip sijawahi pima nikakutwa na UTI
Mara ya mwisho juz tu nilikuwa naumwasana tumbo nikhis huenda yenyew lkn hamna
Unafiri kipindi hicho ilisababishwa na nini mpaka sasa isikupate tena
 
Sasa niambie kazi sii tunayo mwanawane hapa...ebu cheki litango hilo, kibamia changu kinaingia mara kumi hapo. Huyo akinipea nakuwa napwaya tuu
Hahah ndio maana wajomba wanasema principal Sasa Ni tomber,mwaga,sepa zako.

Mambo ya kujifanya kumridhisha utaishia tu kupata matatizo ya mgongo wkt Ni Kijana mdogo πŸ˜„πŸ˜„
 
Ndio mwanawane. Ila kuoa muhimu bwana....ninaishi kwa majuto tuu hapa.
 
Sitosahau 2017 aisee nilijuta kuzaliwa.

Nilijiapiza Mimi na ndomu milele.

[emoji1787][emoji1787][emoji1]

Vaeni ndomu acheni kutembelea Ringi wenzetu Hawa hawajali afya zao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Tena atutoe

Kama mie ndio hata sijui vidonge vya UTI vinafananaje mpaka hapa nilipofikia..
Every dog has its day.

Iko siku yao utaita maji mmma!!

Halafu usikute hapo unayo ila unajidai tu hapa

Maana nyie hata miaka 3 mnaishi na hayo makitu Wala hamshutukia.

Siku ukija sikia umepa shida kwenye mfumo wa mkojo au kizazi usishangae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…