Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Every dog has its day.

Iko siku yao utaita maji mmma!!

Halafu usikute hapo unayo ila unajidai tu hapa

Maana nyie hata miaka 3 mnaishi na hayo makitu Wala hamshutukia.

Siku ukija sikia umepa shida kwenye mfumo wa mkojo au kizazi usishangae.
Miaka mi3 without any dalili? Mhh haya mkuu 🙌
 
Kuna wakati vijana huwa siwaelewi mnataka nini. Hivi kipi bora mke wako kujisavia au akaitunuku kwa jamaa limwagie humo ndani mash.ahawa! Nadhani bora ajisevie au hata awe ni msagaji kuliko kuigawa kwa jamaa.
Ahh wee... awe msagaji tena? Bora awe anapiga self service tu... au hata ningekua siwez show sinanunua hata toys tunakua tunatumia kumridhisha. Ilimrad asicheat tu nakutuletea magonjwa ndani...
 
Wanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.

Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi sikipita siku mbili bila kuona uchafu au kusikia tofauti wakati wa kukojoa basi unamshukuru Mungu.

Wanaume hawa viumbe watatumaliza na mbaya zaidi magonjwa haya wanakaa nayo kwa muda mrefu bila wao kujijua.

Unaenda kwa daktari anakwambia umlete na mwenzako mtibiwe wote, huo muda mimi nautoa wapi doctor..

Unakuta mwanamke mzuri mrembo shepu zuri msafi ananukia lakini jichanganye wewe mtoto wa kiume kutembea nae peku ukitoka salama mshukuru Mungu.

Wanaume wengi tunakutana na hali kama hii ila huwa ni siri yetu na doctor, hatuwaambii nyie wanawake zaidi ya kukuacha kimya kimya.
Kwanza kabisa jua kuwa kaambukizwa na mwanaume,pili kamwe usiamini mtu tumia condom wewe. Kapime HIV.
 
Kuna vitu viwili vinavyosababisha UTI kwa akinamama.
1. Kutokuchamba vizuri kiasi uchafu kuingia katika K. Hii inagundulika ukipima maabara watakuta ni

E. coli (Escherichia coli0​

2. Kama mnafanya kamchezo ambapo mnatoa mbele bila kuosha mnaendelea nyuma bila kuosha na mnarudi mbele. Hako kamchezo ni hatari kwa UTI hata kama mnatumia Condom. Jisi ya kufanya ni kuhakikisha umeiosha dushe kwa sabuni ili mwendelee na upande wa pili. La sivyo figo zitaathirika
Wale ndg zetu wanaita hili Ni DARSA.
 
Kwanza kabisa jua kuwa kaambukizwa na mwanaume,pili kamwe usiamini mtu tumia condom wewe. Kapime HIV.
Kuna baadhi ya wadada hawapendi condoms kabisa. Hii nimekutana nayo sanasana lindi... madem wengi huko hawapend condoms. Kwani kuna kitu (baadhi ya) wadada hampendi kuhusu condoms?
 
Ahh wee... awe msagaji tena? Bora awe anapiga self service tu... au hata ningekua siwez show sinanunua hata toys tunakua tunatumia kumridhisha. Ilimrad asicheat tu nakutuletea magonjwa ndani...
Kwani usagaji unatatizo gani kwenye K? Kosa kuingiza nyama ya mtu katika K
 
Jamani sio UTI ni chlamydia ni ugonjwa wa zinaa
 
Back
Top Bottom