Siku hizi vijana wana-date na wamama watu wazima

Siku hizi vijana wana-date na wamama watu wazima

kamba0719

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2018
Posts
804
Reaction score
1,906
Kwa niliyo yaona mtaa niliotoka.

1. Huyu mmama wa kwanza mwanae ni mshikaji wangu nilisoma nae mafundisho, mama ni mjane, mwana alimfuma mama yake anagongwa home na kijana mdogo. Jamaa alimpiga mama yake na yule dogo.

2. Kuna mama huyu muimba kwaya kanisani huyu ndio oya oya, vijana wengi wa bodaboda wengine Jamaa zangu wamepiga.

3. Mmama mwengine mume wake akufa miaka ya 90 mwishoni, mmoja wa watoto wake ni rafiki yake, alikuwa anagongwa maramara kwenye guest ya hapo hapo mtaani.

4. Mmama wengine naweza sema huyu ni mama wa mjini ana nyumba kama tatu mtaani kapangisha, huyu akikupenda anakutongoza, kukuacha akuache yy ukimwacha ww lazima akusweke ndani, vijana wengi wamepiga na sasa kuna yanki polisi anamkamua.

5. Huyu jamaa yangu mjanja mara awe Dj, mara fundi umeme,aonyeshe mipira ila sasa hivi ni askari fire. Huyu sasa katia fora yeye alikuwa analigonga libibi 60+ bibi anabonge la shepu (mda mwingi anavaa dela au hijab).Alianza kumgonga nyumbani kwake alipoenda kutengeneza,hitilafu ya umeme, bibi alikuwa anampenda kweli jamaa.

6. Huyu mmama mwengine naye 55+ mme wake yupo ng'ambo,mwanae nimesoma nae advance, kimwonekano ni mshika dini ila kuna mwana anapiga.

7. Hawa wa mama wawili wanauza chakula, kuna washakaji fulani wanapiga kazi kwenye godauni lakuhifadhia sukari, wanajipigia watakavyo.

8. Kuna mama nae yy yupo vikoba na mother wangu mdogo, kafungasha huyo kuna yanki kijana wa tax anapiga.

9. Kuna mwengine huyu kama dada yangu 45+,yy anagongwa na dereva wake wa bodaboda.

10. Kuna mmama alikuja kumsaidia mdogo wake aljifungua, kuna dogo nilikuwa namfundisha O level,yeye naye akawa anapona kwa hilo jimama.

11. Jimama jengine hilo, huyo mtu wa kutwa kajitanda, kuna dogo mmoja yy kazi yake kubeba, maji mtaani alimtega dogo mpaka mwisho dogo akaanza kuligonga.

12. Kuna mshikaji mwengine huyu tulivyo kuwa wadogo alikula zile nazi za kafara na bado mpaka sasa anadunda, yeye kuna mimama miwili pale mtaani alikuwa anayagonga, mmoja mme wake fundi wa maboti mwengine single mother.

Mimi mwenyewe around 2014 kuna mzee jamaa mmoja 45+ ana mke wake around 40+,yule jamaa alikuwa mwana sana mpira tulikuwa tuna cheki nae sasa alipopanga ndipo kulikuwa na maskani yetu,nakumbuka kipindi hiko nahangaika kutafuta kazi baada ya kumaliza,chuo so mda mwingi nilikuwa maskani.

Sajamaa ana mwana around 3,so mara nyingi nilikuwa namnunulia pipi. Jamaa alikuwa mtu wa kusafiri kikazi.So mimi nilikiwa nataniana sana na mwanae na mke wake yupo vizuri. Nakumbuka alikuwa ananitega sana nikiwa na mwanae, sasa kuna siku akaniletea simu yake ni mtengenezee, kuna video za porno hazifunguki, mtu mzima nikamuelewa, ila kwa kuwa jamaa na muheshimu, nilipunguza mazoea na yule mwanae na nilipunguza kuja maskani, baadaye wakahamia mtaa wa pili.

Yaani siku hizi couple za mijimama na vijana wadogo zipo nyingi sana.
 
Humu duniani binadamu akiwa na mahitaji yake mathalani KUNYWA MAJI ,KWENDA MSALANI huwa anaamua mwenyewe kuitibu haja yake.....kwani akikaa na kiu chake hakuna ATAKAYEJUA ama kumsaidia kutatua KIU yake kwa niaba yake........

Mengi hufanywa na WANADAMU....

Siri zetu anazijua VYEMA MUNGU....tukizijua za wenzetu basi "TUSITIRIANE TU" 🤣
 
Sex ni kitu kawaida kwa binadamu ila tu bongo mmeamua kukifanya big deal! Ndio maana watu wanapambana kumeza mitishamba ili wagonge wanawake vizuri badala ya kufanya maisha!

Umlale binti, mke wa mtu au mjane we all get that pleasure!
 
Sex ni kitu kawaida kwa binadamu ila tu bongo mmeamua kukifanya big deal! Ndio maana watu wanapambana kumeza mitishamba ili wagonge wanawake vizuri badala ya kufanya maisha!

Umlale binti, mke wa mtu au mjane we all get that pleasure!
Bonge la point....

Na siku ikifika tukiona kuwa ni jambo la kawaida sana ,basi tutayaanza mapinduzi makubwa ya maendeleo KIUCHUMI NA KIJAMII 🤣🤣
 
Yap hizi akili za eti mwanamke ili akupende na asikuache basi umtombe sana ni mambo ya kishamba tu! Na wanawake nao kuamini kuwa wakipewa pesa ndio wanastahili kutoa penzi ila kinyume na hapo hawatoi ku.mar!

Sole purpose of sex ni mimba na uzazi sio starehe sie tu ndio tumeleteana complication!
Mtatoa tu
 
Back
Top Bottom