Siku hizi vijana wana-date na wamama watu wazima

Acha watu wapeane maraha.
Ata dada zetu nao wanaruka na baba na babu zetu
 
Acha kupotosha Kuna wanyama ambao wanafanya sex Kama starehe na kuzaa mfano binadamu,sokwe nk na Kuna wanyama ambao husex pale tu wanapotaka kuzaa mfano Simba.Kama hauna nguvu za kiume tulia povu la nini?
Binadamu asiye na shughuli za kufanya ndio anawaza sex muda wote kama wewe!
Bhakressa angekuwa na nusu ya akili zako bado angekuwa anauza urojo mpaka sasa kenge kweli wewe😅
 
Binadamu asiye na shughuli za kufanya ndio anawaza sex muda wote kama wewe!
Bhakressa angekuwa na nusu ya akili zako bado angekuwa anauza urojo mpaka sasa kenge kweli wewe😅
Hatari sana!....Daslam wamejaa vijana wa aina hii.
 
Mkuu umefanya upendeleo, mbona mama zako na shangazi zako haujawaweka
 
Dogo, utapasuka kichwa bure kuwa busy na mambo yasiyo na tija kwako.
Hakuna jipya chini ya mbingu. Tafuta hela kijana.
 
Viben10 na mariooz mkuje huku, kuna jambo lenu. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna mwingine unayemjua nami nije nipige
 
duh...una list ndefu kama ya mafisadi vile....
haya bhana,NGEYE hazina umri mkuu,tena hao mama ndiyo zinakuwa juu sana acha tu... ukikuwa utajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…