Siku ikitokea tamthilia kali na nzuri kuliko Prison Break naomba mnishtue

Power kuna mwamba wakuitwa Ghost na mpambe wake Tony mixa wife Tasha.... Hi familia inakuja kuongezwa na mchepuko askari jina nimemsahau. Kufa kwa ghost ndio ukawa mwisho wa kuifatilia izo bookbook
 
Sona sio gereza aisee, ila nilivyojua Wenthwoth Miller ni bwabwa palepale mzuka ulikata.
 
Money Heist kama walitaka kuja hivi ila walipoingiza ujinga wao kwishnei.
 
T Bag alikuwa na bahati sana ama ni muongozaji alitaka iwe hivyo. Katika wote walio toroka kule Fox River ni yeye pekee alikuwa akipita popote mtaani bila kushukiwa na raia. Lile bifu lake na Abruzzi lilikuwa ni burudani sana muda wote wanawindana na hawaaminiani kabisa.
 
Mimi tangu imalizike Isidingo sijawahi kuangalia hizo tamthilia.Isidingo ndiyo niliona pekee ilikuwa na uhalisia.Maana kama ni vikao vya mahakama wanafanya kabisa kimahakama,kama ni usaili wa kuwapata wafanyakazi wanafanya kiuhalisia,kama ni vikao vya bodi za kampuni vinafanyika kabisa na kuna jambo unajifunza ukilinganisha na sheria zetu na kanuni za kufanya hayo mambo nk.
 
Msimu wa kwanza mpaka wa tatu Bellick alicheza kwa ufanisi sana. Ana kwambia ameanza kazi hapo Fox River akiwa na miaka 18, baada ya Scofield na genge lake kutoroka ana achishwa kazi jamaa analia sana anadai maisha yake ni Uaskari gereza akiwa na maana hiyo ndio kazi pekee anaweza fanya kwa ufanisi.

Baadae katika pilikapilika za kutafuta ile dollar 5M kinatokea kifo cha rafiki yake ambaye walikuwa pamoja katika kusaka hizo pesa, anajichanganya pale anapo ulizwa swali na muendesha mashitaka kama ana mfahamu anajibu ndio na kudai ni rafiki yake. Kesi inapelekwa mahakamani na hukumu inatoka kutumikia adhabu akiwa gerezani, kinacho burudisha na kufundisha hapa alifungwa gereza la mbali ikabidi aombe afungwe gereza la karibu ili awe ana muona mama yake kwa karibu. Ikabidi apelekwe Fox River kule alikuwa askari magereza kabla ya hapo, akarudi kama mfungwa, baadae alikuja kutoka baada ya kupewa kazi na agent Mahone. Ila Bellick vile vituko vyake na ukauzu kule Fox River ni burudani tosha.
PB hainaga mpinzani niko naiangalia hapa Bellick anamwambia T bag kuwa uzao wake ni babake alimbaka dadake ndio yeye akazaliwa, yan mtu na kakake walitiana mimba ndio t bag akatokea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akianza ile staili yake ya kulamba lips kwa kutoa ulimi nje ujue kuna jambo anaenda kufanya [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile character yule chizi aliweza halafu Wala Hana time sasa
 
Mkuu muhusika alie cheza kwenye PB ni Michael Scofield na wala sio Wentworth Miller. Ndio maana kwenye PB Scofield alikuwa na mpenzi wake Sarah, tunafuatilia tamthilia ya Prison Break na sio maisha binafsi ya Wentworth Miller. Hayo mengine atajua yeye na maisha yake huko.
Sona sio gereza aisee, ila nilivyojua Wenthwoth Miller ni bwabwa palepale mzuka ulikata.
 
Kwanini umemuelezea kidogo T-bag umeniudhi. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Huyu Snitch sio wakumuamini kamwe
Bagwel alikuwa mnyamaa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ. Nilipenda transformation ya Belick from mamaz to a fugitive
 
Nipo nairudia hii series itoshe kusema uyu jamaa Lincoln na masikio yake alikua mkuda sana ni pimbi uyu
 
Nipo nairudia hii series itoshe kusema uyu jamaa Lincoln na masikio yake alikua mkuda sana ni pimbi uyu
Sema ana huruma sana jamaa. Basi tu alikimbia umande๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ