Siku ilikuwa nzuri mpaka Kibu alipokuja iharibu

Siku ilikuwa nzuri mpaka Kibu alipokuja iharibu

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Ilikuwa inaelekea mwisho mzuri. Huyu dogo Kibu Denis akaja iharibu mwishoni kabisa. Simba kutoa draw ingenifanya nifurahie sababu wote sisi tungekuwa hakuna wa kumcheka mwenzie.

Lakini. Dk za jioni Kibu Denis anakuja kuipatia simba bao la ushindi. Sikupenda na sikufurahishwa. Ila nikubali mikia walipambana sana.bila kinyongo, bila chuki. Nasema lile ni bao halali wala halina mgogoro. Dk zilizoongezwa teams zote zilishiriki. Hakuna ambayo ilitolewa nje ya uwanja na kuiacha nyingine.
 
Baada ya pombe kali sindano na malaya kuharibu wachezaji wenu mmegeuka wachawi kwa wanaojituma kwa nguvu zao?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Simba angepata sare angekua na pointi 4, nafasi ya tatu kwenye kundi lake. Wewe ungebaki na alama yako 1 huku ukiburuza mkia, ni kwa namna gani mngekua sawa?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
baada ya hio gemu ...nmempata waifu ivi mazee dah....mwenzenu mwanajf nifanyejee
FB_IMG_1734306146863.jpg
 
Back
Top Bottom