Siku madini yakiisha DRC na vita inaisha hapohapo

Siku madini yakiisha DRC na vita inaisha hapohapo

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Hivi Africa kweli tulipatiwa uhuru au ilikuwa ni hadaa? Angalia congo watu wake wanavyouawa kisa nchi za magharibi zinataka kuchota Mali kwa kupitia kwa kagame na mseveni thru M23. Hawa M23 wanapew asilaha na ufaranasa na marekani kwa kupitia Rwanda kw akagame. Kwa nini nchi za Africa tusiungane kupinga na kusema tuko huru?
 
No. Siku madini yakiisha ndo vita itaisha mana mataifa ya magharibi wanataka kunyonya to the maxmum
Vita itaisha Congo siku wakimpa nchi mtu mwenye akili zake timamu Moise Katumbi Chapwe. Hivyo tuu.
 
Mbona Africa Kusini, Botswana, Ghana na Tanzania kuna madini mengi tu ila hakuna vita??
Hivi Africa kweli tulipatiwa uhuru au ilikuwa ni hadaa? Angalia congo watu wake wanavyouawa kisa nchi za magharibi zinataka kuchota Mali kwa kupitia kwa kagame na mseveni thru M23. Hawa M23 wanapew asilaha na ufaranasa na marekani kwa kupitia Rwanda kw akagame. Kwa nini nchi za Africa tusiungane kupinga na kusema tuko huru?
 
Ningekuwa mimi ndiyo Rais wa nchi hii, haki ya nani ningehakikisha nafaidika na huo utajiri wa madini na raslimali nyingine za hiyo nchi; kwa namna yoyote ile.

Hata kwa kupeleka kikosi cha kijeshi cha M24, kwa lengo la kuleta usalama wa kikanda.
 
Mbona Africa Kusini, Botswana, Ghana na Tanzania kuna madini mengi tu ila hakuna vita??
Ila upigaji ni mkubwa sana. Iko hivi huku kwenye hizi nchi ulizotaja chanzo cha amani ni viongozi wachumia tumbo kuingia mikataba ya kinyonyaji na wawekezaji kwa maslahi yao binafsi.

Hivyo mzungu akishaweza kukuwin hivyo hana haja ya kukusababishia machafuko ili aingie kwa plan B.

Historia ya machafuko Congo DR siifahamu vizuri ila nadhani kuna watu waliweka uzibe fulani kwa mzungu hivyo akaamua aingie kwa plan B (mlango wa nyuma).
 
US na shost zake wabaya sana

Bila mataifa ya magharibi hii DUNIA ingekua naamani sanaaa

Bila kuisahau ISRAEL kila penye mauaji huu utawala HARAMU umechangia zaidi ya 50%
 
Hivi Africa kweli tulipatiwa uhuru au ilikuwa ni hadaa? Angalia congo watu wake wanavyouawa kisa nchi za magharibi zinataka kuchota Mali kwa kupitia kwa kagame na mseveni thru M23. Hawa M23 wanapew asilaha na ufaranasa na marekani kwa kupitia Rwanda kw akagame. Kwa nini nchi za Africa tusiungane kupinga na kusema tuko huru?
Kuna mawe yameokotwa juzi juzi, hapa yanatoa umeme na cheche. Kwa hiyo tutegemee vita zaidi?
 
Vita itaisha siku rais ataajiri Wagner group kulinda maeneo yenye migogoro
 
Kwanini raisi asiingie ubia na hao us & france wamlinde wachukue madini?
 
Back
Top Bottom