Siku Matajiri walipokutana Dsm - Tanzania

Siku Matajiri walipokutana Dsm - Tanzania

Kinyungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
19,484
Reaction score
38,416
20230920_122349.jpg

Novemba 19, 2019, Nchi tajiri duniani zilikutana mjini Dar es Salaam na mwenyeji wao Tanzania ambayo wakati huo ilikuwa tajiri pia....sijui imekuaje tena kwa sasa kila siku tunatembeza bakuli la kukopa? Au ndiyo yale ya kila tajiri ana mokopo? johnthebaptist
Tumerudi kwenye umasikini?
Kwa kweli Mwamba alituweza
 
View attachment 2755766
Novemba 19, 2019, Nchi tajiri duniani zilikutana mjini Dar es Salaam na mwenyeji wao Tanzania ambayo wakati huo ilikuwa tajiri pia....sijui imekuaje tena kwa sasa kila siku tunatembeza bakuli la kukopa? Au ndiyo yale ya kila tajiri ana mokopo? johnthebaptist
Tumerudi kwenye umasikini?
Kwa kweli Mwamba alituweza
Mtaji wa maskini ni Nguvu zake!
 
Back
Top Bottom